Kenya: Mwai Kibaki na Odinga Budi Washirikiane na ICC
Makala hii inapatikana pia katika:
| Français | · Kenya: Mwai Kibaki et Odinga doivent coopérer avec la CPI |
| English | · Kenya: Mwai Kibaki and Odinga must co-operate with ICC |
Kenya
Ubia wa Kuleta Mabadiliko umetoa tamko linalowataka mwai kibaki na raila odinga kushirikiana na mahakama ya kimataifa ya Jinai na kuhakikisha muswada wa Tume Maalum unapitishwa nchini kenya na kurasimishwa kama sheria ndani ya wiki mbili.






































Karibu sana Ephraim Bisimwa. Tunafurahi unafuatilia. Tafadhali waambie na wengine. Ukiwa na maoni zaidi, usisite...
Mimi EPHRAIM BISIMWA naufurahi mtandao huu asante.