Habari kuhusu Italia
Mfanyabiashara wa Slovakia Ashtakiwa kwa Kuamuru Mwanahabari Ján Kuciak na Mchumba Wake Wauawe
"Hii ni hatua kubwa muhimu, na ni nadra kuchukuliwa mwandishi wa habari anapouawa. Tunatarajia kuwa mamlaka zitatekeleza ahadi ya kuhakikisha haki inatendeka dhidi ya wote waliohusika."
‘Watu Wanapanda Boti hizo kwa Kuwa Bado Wanahitaji Kuishi’
Kampeni ya uokozi Sos Méditerranée yachapisha kwenye blogu yao maelezo ya watu walioponea chupuchupu wakielekea Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean
Ombi kwa Papa Francis Kuchukua Hatua Kupinga Madikteta wa Afrika
Une pétition en ligne adressée au Pape pour demander l'excommunication des dictateurs africains de l'Angola, de la Guinée Equatoriale, du Cameroun, du Congo et du Zimbabwe.
Picha Nyeusi: Waafrika Nchini Italia
Picha Nyeusi ni kazi za wapiga picha watatu – Marco Ambrosi, Matteo Danesin na Aldo Sodoma – Kituo cha Stadi za Uhamiaji mjini Verona, Majiji ya Verona na Padua, Chuo Kikuu cha Padua Idara ya Sosholojia ikiwaonyesha Waafrika nchini Italia.
Je, Italia Iko Tayari kwa Waziri Aliyezaliwa Afrika?
“Je, Italia iko tayari kwa Waziri wa Serikalki aliyezaliwa Afrika?,” Donata Columbro anauliza: Miezi miwili baada ya uchaguzi wa hivi karibuni, Italia ina serikali mpya. Na Cécile Kyenge, mwenye umri wa miaka 48, daktari wa upasuaji macho na raia wa Italia aliyezaliwa Kongo, ni Waziri mpya wa Ushirikiano katika baraza la mawaziri la Waziri...
Urusi: Habari ya Putin-Berlusconi Kwenye WikiLeaks
Kwenye The Daily Beast, Julia Ioffe anatoa maoni juu ya masuala yaliyowekwa wazi katika Wikileaks kuhusu uhusiano kati ya Waziri Mkuu wa Urusi na mwenzake wa Italia Silvio Berlusconi.
Italia: HAPANA kwa Vikwazo Dhidi ya Uhuru wa Kujieleza wa Mtandaoni
Muswada mpya wa habari na Unasaji wa siri wa Mawasiliano ambao umewasilishwa kwenye bunge la Italia unaweza kuanzisha "hatari ya malipo ya fidia" kwa wanablogu wote na vyombo vya habari vya mtandaoni.