Habari kuhusu Sudani Kusini

Ramani za Mpaka wa Kikoloni wa Sudan Kusini Ziko Wapi?

  12 Machi 2013

Joseph Edward anazungumzia kupotea kwa ramani za mpaka wa Sudan Kusini za enzi za ukoloni: “Majadiliano yameibuka kuhusu ramani ambazo zilidaiwa kuchukuliwa na Waingereza baada ya Sudan kupata uhuru mnamo mwaka wa 1956. Huku baadhi a watu wanaamini kwamba nyaraka hizo za kihistoria zinaweza kupunguza migogoro ya mpaka inayoendelea, watafiti...

Kura ya Maoni ya Sudani Kusini 2011

Yaliyomo Habari Kusini mwa Sudan wakati Global Voices Habari zilizochaguliwa za Global Voices Rasilimali: Tovuti Twitter Facebook Videos Sudani Kusini ilianza kupiga kura ya maoni mnamo tarehe 9 Januari, 2011 ili kuamua kama waendelee kuwa sehemu ya Sudan kama sehemu ya Makubaliano ya Jumla ya Amani yaliyofanyika mwaka 2005 kati...