Habari kuhusu Kiukraini
Katuni Maarufu ya Ukraini Yaweka Mazingira ya Wazazi Kuzungumzia Usafirishaji Haramu wa Binadamu
Hivi sasa kwapitia mtandao wa YouTube, takribani nusu karne baadae, katuni iliyo kwenye mfululizo uuitwao "Namna Wakulima wa Kirusi..." (How the Cossacks...) zinaonekana kurudia umaarufu wake wa awali.
Matukio ya Ghasia Zinazofanywa na Majeshi ya Urusi nchini Ukraine
Blogu maarufu ya “Tafsiri za Maida ilichapisha bandiko la mtandao wa Facebook la Dmitry Tymchuk, Mkuu wa Kituo cha Ukraine cha Stadi za Siasa za Kijeshi, linaloeleza matukio ya ghasia za kimataifa zinazodaiwa kufanyika na “matendo yasiyo ya kawaida” tangu Februari 2014. Tymchuk anaanza uchambuzi huu kwa kusema: Kwa mfano,...
Rais Yanukovych wa Ukraine ang'olewa madarakani
Baada ya maandamano, vurugu na upinzani dhidi ya serikali uliosababisha vifo vya watu wapatao 100, Bunge la Ukraine hatimaye limepiga kura ya kumwondoa Rais Viktor Yanukovych kama hatua ya kujibu shinikizo la waandamanaji. Tayari Rais Yanukovych amenukuliwa akisema hana mpango wa kutoroka nchi. Soma zaidi kupitia kiungo hiki [en]
Fuatilia Kuenea kwa Maandamano ya Ukraine
Maandamano yamechukua sura mpya tarehe 18 Februari, na Ukraine sasa imekuwa uwanja wa mapambano baina ya mamia ya maelfu ya raia na vikosi vya ulinzi.
Wabunge wa Ukraine Wataka Utoaji Mimba Upigwe Marufuku Kisheria
Mapema mwezi Aprili, Wabunge watatu kutoka kambi ya Upinzani iitwayo“Svoboda” walipeleka mswada bungeni wenye lengo la kupiga marufuku utoaji mimba nchini Ukraine. Tetyana Bohdanova anataarifu mwitikio wa watumiaji wa mtandao kufuatia hatua hii ya Bunge la Ukraine.
Ukraine: Gereza la Lukyanivska – “Mahali Watu Wanapotendewa kama Wanyama”
Mnamo tarehe 2 Aprili, Televisheni ya Ukraine ya TVi ilirusha filamu iliyotayarishwa na Kostiantyn Usov kuhusu hali ya maisha na jinsi mahabusu wanavyotendewa katika gereza la Kyiv la Lukyanivska, na pia kuhusu kuenea sana kwa rushwa miongoni mwa askari magereza. Kwa uchache, wengi katika wale ambao tayari wametazama video ya Usov walishtushwa sana na yale waliyoyaona.
Ukraine: Umaarufu wa Yushchenko Unafifia
Kwa mujibu wa kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita, Rais wa Ukraine Victor Yushchenko “angeshinda chini ya asilimia 2.9 ya kura kama uchaguzi wa rais ungefanyika mwishoni mwa mwezi Desemba 2008 au mwanzoni mwa mwezi wa Januari 2009.” Yafuatayo ni maoni yanayomhusu rais na wanasiasa wengine katika ulimwengu wa blogu za Ukraine.