Habari kuhusu Kilingala
Mfalme wa Rumba lenye Mahadhi ya ki-Kongo Afariki Dunia. Tunamkumbuka kwa Hili
Tumempoteza Papa Wemba, mwanzilishi wa rumba lenye mahadhi ya Kikongo na "mfalme wa Sape". "Kwaheri na asante sana kwa msanii huyu," tunasema sisi wa Global Voices
Kongo (DRC): Wakongo Waishio Nje ya Nchi Walipuka Kumpinga Kabila
Wakati Kongo (DRC) ikingoja matokeo ya mwisho ya kura za Urais na wabunge, wa-Kongo waishio nje ya nchi hiyo, ingawa hawakuruhusiwa kupiga kura, wameonyesha kujitolea kwako kwa kuzifanya sauti zao zisikike. Julie Owono anataarifu.