Habari kuhusu Kiingereza
‘Mnao uwezo mkubwa na kuzidi’
"Siwezi kunyamazia mfumo wa elimu unaozidisha matarajio yanayoadhibu na kufedhehesha watoto wa taifa hili."
Mwanamke wa tano auawa nchini Azerbaijan katika kipindi cha siku 10
Mwanawake aliyenyongwa hadi kufa nchini Azerbaijan ni wa tano kuuawa kwa sababu ya mgogoro binafsi na mwuuaji ndani ya siku 10.
Ujerumani yakiri kuhusika na mauaji ya kimbari nchini Namibia enzi za ukoloni, lakini wahanga wasema haitoshi
Miaka zaidi ya 100 baada ya mauaji ya kimbari ya watu wa kabila la Ovaherero na Nama nchini Namibia, Ujerumani inakiri kuhusika kwake na itatoa fedha kufadhili miradi nchini Namibia kwa kipindi cha miaka thelathini.
Matukio ya unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni yaongezeka nchini Kenya
Katika mtandao wa intaneti nchini Kenya uliotawaliwa na wanaume, wanawake mara nyingi huwa walengwa wa matusi
Trinidad na Tobago yakaribia kurekebisha Sheria ya Fursa Sawa kutambua ushoga
Mijadala kuhusu hitaji la kubadili Sheria ya Fursa Sawa nchini Trinidad na Tobago imepamba moto baada ya benki kubwa nchini humo kuchukua hatua kubwa za kutambua haki za makundi mbalimbali.
Mpango wa kutoa chanjo ya UVIKO-19 nchini Kenya waibua matabaka ya maskini na wasiojiweza
Wafanyabiashara na wanasiasa wanapata chanjo mapema wakati Wakenya masikini na wazee wakisimama kwenye foleni ndefu.
TAZAMA/SIKILIZA: Kupambana na miiko inayozuia utoaji mimba
Ulikosa matangazo mubashara ya kipindi cha Global Voices Insights cha Aprili 7 kuhusiana na masuala ya haki za kutoa mimba katika nchi tano? Tunakirudia hapa.
TAZAMA: Mazungumzo na Jillian C. York kuhusu kitabu chake kijacho “Silicon Values”
Ulikosa kipindi mubashara cha Global Voices Insights tulipozungumza na mwandishi na mwanaharakati Jillian C. York? Sikiliza marudio hapa.
Umoja wa Afrika wageukia teknolojia ya uangalizi wa kibiolojia kukabiliana na COVID-19
PanaBIOS,teknolojia ya ufuatiliaji binadamu unao ungwa mkono na Umoja wa Afrika, unaweza fuatilia usambaa wa COVID-19 na kukutanisha vituo vya vipimo barani.
Televisheni ya taifa nchini China yapotosha matamshi ya mwanasayansi wa Shirika la Afrika Duniani (WHO) kwenye video inayosambaa sana
Neno"ikiwa "katika hotuba ya Dkt.Swaminathan ilitolewa kwenye video na kifungu cha ushirika iliokua awali kudokeza dalili