Makampuni ya Teknolojia Nchini Kenya Yaliyofadhiliwa Mwaka 2014

Je, unayajua makampuni ya teknolojia nchini Kenya yaliyopata ufadhili kwa mwaka 2014? Erik Hersmann anayaorodhesha kwenye blogu yake:

Fedha za mtaji wa awali

Angani – Huduma za mtandao wa umma wa kompyuta
BRCK – Huduma za mtandao wa Si-Waya za WiFi
CardPlanet – Mfumo wa malipo kwa njia ya simu za mkononi unaolenga biashara na AZISE
iProcure – Zana za kuongeza upatikanaji wa huduma vijijini
OkHi – Mfumo wa anuani za makazi kwa masuala ya manunuzi
Sendy – Huduma za pikipiki
Tumakaro – Mfuko wa elimu unaoendeshwa na raia waishio ughaibuni
Umati Capital – Huduma za vyama vya ushirika, wafanyabiashara na shughuli za viwanda
GoFinance – Mtaji kwa fedha za wasambazaji wa FMCG
BuyMore – Kadi ya punguzo ya elekroniki kwa wanafunzi
TotoHealth – Teknolojia ya ujumbe mfupi wa maandishi kwa afya ya watoto
BitPesa – Huduma ya malipo kwa ajili ya Waafrika

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.