Ufisadi Uliofanywa na Makampuni Makubwa Katika Kupambana na Ebola Nchini Sierra Leone

Makampuni matano nchini Sierra Leone yanasemekana kutumia fedha zilizokusudiwa kupambana na Ebola kwa njia za kifisadi:

Haya hapa makampuni matano yaliyokuwa yameingia mikataba mikubwa ya kusambaza vifaa na kutoa huduma katika kupambana na ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone kama yalivyoorodheshwa kwenye Taarifa ya Ukaguzi ya Fedha za Kupambana na Ebola kwa kipindi cha kuanzia Mei – Oktoba 2014. Mikataba ifuatayo hakukidhi sheria na sera za manunuzi za nchi na nyaraka za kuthibitisha namna [makampuni haya] yalivyoshinda tenda hizo hazionekani, na hakuna anayeweza kutoa maelezo. Hali hii inafanya uwepo uwezekano wa kutokea vitendo vya kifisadi, upotevu na hata matumizi mabaya ya fedha na hivyo kuzorotesha uwezo wa taifa hilo kupambana na janga hilo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.