Vijana wa Naija Wacharuka Kufuatia Shambulizi la Boko Haram huko Bosso na Diffa

Niger youth

Vijana huko Niger – CC-BY-2.0

Kwa mara ya kwanza, Boko Haram kimetekeleza shambulio kwenye mpaka na Naija na vijana wa ki-Naija hakuweza kuvumilia.

Boko Haram walishambulia Bosso na Diffa, miji miwili iliyo kusini mashariki mwa Naija kwenye mpaka wa nchi hiyo na Naijeria lakini walirudishwa nyuma na majeshi ya Chad na Naija. Boko Haram imepoteza zaidi ya wnaamgambo 100 kwenye mapigano hayo lakini mtu aliyejitolea mhanga alijilipua mjini masaa machache baadae, na kuua watu wasiopungua watano. Kijana mmoja wa Naija alisukumwa kujibu mapigo. Wanafunzi wa shule za sekondari jijini Niamey (mji mkuu wa Naija) walikusanyika pamoja na kulaani shambulio hilo nchini mwao, na kwa kutumia lugha ya ki-Hausa, waliunga mkono vikosi vyao vinavyopambana mpakani:

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.