Hospitali Nyingi Nchini Guinea Zafungwa kwa sababu ya Virusi vya Ebola

Conakry General Hospital via Koaci used with permission.

Hospitali kuu ya Conakry. Picha ya Koaci imetumiwa kwa ruhusa.

Wafanyakazi wa tiba nchini Guinea wana hofu kufuatia vifo 28 na kulazwa kwa wafanyakazi 50 tangu Septemba 17. Kuthibiti hali hii, ukosefu wa vifaa vya kinga ni mbaya kiasi kwamba glovu za matibabu zinauzwa kwa bei juu. Kuonyesha hali kati ya wafanyakazi wa huduma, Amadou Tham Camara alindika yafuatato katika Guinea News:

Déjà traumatisé par la mort de six collègues au mois d’avril dernier, le  personnel soignant de l’hôpital sino guinéen de Kipé est dorénavant dans une sinécure paranoïaque : les médecins refusent de soigner. Et tous les jours, ils maudissent le17 mars, ce jour où ils ont reçu ce patient venu de Dabola qui a contaminé neuf de leurs collègues. 

Dans les autres grands hôpitaux nationaux de Conakry, des services entiers ne sont plus ouverts à cause des nouveaux cas d’Ebola détectés. Ainsi, depuis deux semaines, le service de réanimation de l’hôpital Ignace Deen est fermé. Le service gynécologique du même hôpital est barricadé  pour les mêmes raisons. De même la maternité de l’hôpital Donka, la plus grande du pays, ne fonctionne plus. 

Dans ce pandémonium, le paludisme qui reste le premier problème de santé publique en Guinée, avec plus de 30% des consultations, et la première cause de décès en milieu hospitalier(14%), selon l’OMS, a encore de beaux jours pour améliorer ses chiffres macabres. Tout ceci, à cause du silence feutré provoqué par le tintamarre assourdissant  autour d’Ebola.

Tayari wana mshtuko kufuatia vifo vya wenzao sita mnamo mwezi Aprili, wafanyakazi wa huduma wa hospitali ya Mahusiano ya Uchina na Guinea iliyoko Kipé wana hisia tofauti kuhusu kitendo cha madaktari kukataa kutibu wagonjwa. Wao wanashutumu kwamba Machi 17 ndiyo siku waliopata mgonjwa kutoka Dabola aliyeambukiza wenzao tisa.

Idara nzima ni imefungwa katika hospitali nyingine za kitaifa za Conakry kutokana na matukio mapya ya Ebola kuripotiwa. Kitengo cha wagonjwa mahututi cha Ignace Deen kimemefungwa kwa muda wa wiki mbili na idara ya magonjwa ya wanawake ya hospitali hii kwa sasa imewekwa kizuizi. Hospitali ya uzazi ya Donka, ambayo ndiyo kubwa nchi humo, haina tena huduma.

Malaria bado tatizo kubwa kwa afya ya umma nchini Guinea inayohudumia zaidi ya asilimia 30% ya rufaa na ndiyo chanzo cha vifo hospitalini hapo kwa mujibu wa shirika la afya duniani. Hali hii inaweza kufanya takwimu hizi za kutisha kuwa mbaya zaidi. Hofu ya Ebola imefanya watu wawe kimya.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.