Wa-Indonesia Wawasha Mishumaa Elfu Moja Ishara ya Amani kwa Palestina

Raia wa Indonesia walikusanyika katikati ya Jakarta, mji mkuu wa nchi hiyo, kuwasha mishumaa 1,000 kupinga mashambulio ya Israel katika ukanda wa Gaza. Indonesia ni moja ya nchi maarufu zaidi kwa wingi wa waumini wa dini ya Kiislam.

Indonesians pray for the  Palestinians who were killed in the airstrikes launched by Israel. Photo by Abdullah Arief Siregar. Copyright @Demotix (7/11/2014)

Wa-Indonesia wakisoma dua kwa ajili ya Wapalestina waliouawa kwenye mashambulio yaliyoanzishwa na Israel. Picha na Abdullah Arief Siregar. Haki Miliki @Demotix (7/11/2014)

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.