Wanawake wa Kichina Waandamana Kupinga Kombe la Dunia

12 women staged an anti-World Cup protest on 7 of July in Shanghai. Photo from Weibo via Offbeat China.

Wanawake 12 walifanya maandamano ya kupinga kombe la dunia tarehe 7 Julai jijini Shanghai. Picha na Weibo Offbeat China.

Offbeat China alieleza kwa nini wanawake hao wana hasira na jinsi Kombe la Dunia linavyoharibu mahusiano ya kifamilia nchini China.

Wanapinga mambo mawili makubwa: 1) wapenzi wao kupuuza majukumu yao ya kifamilia kwa sababu ya kuangalia mpira usiku wa manane; 2) tabia za kucheza kamari kwa mashindano hayo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.