Tovuti 50 Zilizotembelewa Zaidi Nchini Kenya

Je, unajua ni tovuti gani maarufu zinazotembelewa zaidi nchini Kenya? Soka posti ya James Wamathai kwenye blogu yake kufahamu zaidi:

Mengi yamebadilika tangu mwezi Januari, wakati nilipotoa orodha ya tovuti maarufu zaidi nchini Kenya. Tovti ya Budget airline Jambo Jet ilizinduliwa, gazeti linalomilikiwa na kampuni ya NMG liitwalo Nairobi News lilizinduliwa na kufanikiwa, tovuti ya burudani ya izvipi nayo ilianzishwa na Sauti Sol ilitoa video ya wimbo wao mpya iliyoibua mjadala mkali, lakini ilijipatia umaarufu, ‘Nishike”.

Kwenye orodha ya tovuti maarufu, kuna mabadiliko kadhaa kama unavyoona hapa.

Kenyan Post imeipiku Ghafla kama blogu maarufu zaidi nchini Kenya
Jumia, KRA, Career Point Kenya, Helb na Techweez zimepanda chati.
Niaje, The Star, Orange na Michezo Afrika zimeshuka umaarufu.
Ben Kiruthi, KU, Kenya Today na Kopo Kopo zimeingia kwenye orodha ya 50 bora.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.