Kurekebisha Historia: Sauti ya Wahanga Waliolazimishwa Kuwa ‘Wagumba’ Nchini Peru

Likiwa na lengo la kukusanya saini 3,000, shirika la MujeresMundi limeanzisha madai ya mtandaoni kwenye jukwaa la Change.org likiitaka serikali ya Peru kujenga upya kumbukumbu ya kihistoria kwa sauti ya wahanga wa dawa za ugumba:

[…] kipindi cha pili cha serikali ya Alberto Fujimori; sera ya Taifa ya Afya ya Uzazi na Uzazi wa Mpango ilitekelezwa […] sera hiyo ilikusudia kupunga kasi ya uzazi. Uchunguzi wa hivi karibuni uliwajumuisha wanawake 2,000. Hata hivyo, takwimu na nyaraka zinaonyesha kuwa kardi ya wanawake laki tatu wa vijijini nchini humo walilazimishwa kufanywa wagumba kwa nguvu wakati wa kipindi hicho.

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.