Mashirika ya Kimataifa, Wanaharakati na Waandishi dhidi ya #LeyTelecom

Mashirika kadhaa ya kimataifa ya haki za digitali zilitumia kongamano la Mexico barua kuonyesha msaada wa kimataifa [es] kwa ajili ya kutetea uhuru wa kujieleza na uhuru kwenye mtandao nchini Mexico. Barua imetiwa sahihi na Electronic Frontier Foundation, Vía Libre, Digital Rights NGO, miongoni mwa wasomi wengine na wataalam.

Kwa mujibu wa waliotia sahihi, kila kanuni inakusudia kulazimisha kanuni za mawasiliano ya simu na utangazaji zilizopitishwa na kongamano la Mexico kuzingatia kanuni za kikatiba na sheria za kimataifa kuhusu haki za binadamu iliyotiwa saini na Mexico. Pia walitoa wito kwa maadhimisho ya azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki ya faragha katika zama za digitali juu ya sheria ya lazima ya mawasiliano ya simu, tamko la pamoja juu ya mipango ya ufuatiliaji na athari zake katika uhuru wa kujieleza kanuni 13 [es] kuhusu haki za binadamu , ili kuhakikisha heshima ya haki za binadamu katika mtandao inakuwepo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.