Tetemeko la Ardhi la Ukubwa wa 6.2 Latokea Nchini Nicaragua

Tetemeko la ardhi lenye nguvu ukubwa wa 6.1 lilitokea Nicaragua mnamo Alhamisi Aprili 10, 2014. Kulikuwa na taarifa [es] za watu kujeruhiwa na kuanguka kwa nyumba shauri ya mtikisiko mkubwa.

Kitovu kilikuwa kilomita 20 Kaskazini ya mji mkuu Managua, karibu na volkano ya Apoyeque, wa kina cha kilomita 10. Katika mtandao wa Twita, watumiaji waliripoti tetemeko dogo na kusimamishwa kwa shughuli za shule:

Tetemeko la tano baada ya tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 nchini Nicaragua: MANAGUA, Nicaragua.- Angalau…

Shughuli za shule kusimamishwa katika Managua na León kutokana na tetemeko la ardhi..

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.