UBUNIFU: Makontena Yatumika Kama Hosteli za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Ulaya

 "Containers" at DTU Campus Village in Kongens Lyngby, Denmark via wikipedia CC-BY-SA-3.0

“Makontena” katika kamapasi ya DTU huko Kongens Lyngby, Denmark kupitia wikipedia CC-BY-SA-3.0

Ili kuondoa uhaba wa hosteli kwa ajili ya wanafunzi unaovikabili vyuo vikuu barani Ulaya, baadhi ya vyuo vikuu nchini Denmaki, Ujerumani, Ufaransa (Le Havre) [fr] na Uhispania vimejaribu kubadili makontena na kuyafanya yawe hosteli za wanafunzi. Makontena yanaonekana kufaa kwa sababu hayana gharama kubwa na yanazoeleka kirahisi. Hata hivyo, taasisi kadhaa tayari zimeibua masuala kadhaa  [fr] kuhusiana na mifumo ya kuyapasha “makazi” hayo joto pamoja na masuala ya usalama. 

3 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.