Ecuador: “Harakati ya Kiasili Itaendelea”

“Serikali inaweza kuendelea na jitihada zake za kutufanya sisi kutosikika, lakini mapambano yetu hayawezi kushindwa. Bora kuna ukosefu wa haki, na kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya mijini na vijijini kubaki, harakati ya kiasili itaendelea.”

Manuela Picq alizungumza na Carlos Pérez Guartambel, kiongozi wa sasa wa Ecuarunari [es] (Shirikisho la Kichwa la Ecuador), katika tukio lililo fadhiliwa na NACLA (North American Congress on Latin America) na CLACS (Center for Latin American and Caribbean Studies at New York University). NACLA imechapisha nakala ya mazungumzo.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.