Mwanablogu wa Yemeni, Abdulkader Alguneid amkuta bundi nje ya dirisha lake:
Kupitia mtandao wa Twita, anaelezea tukio hilo ambalo ni nadra sana kutokea:
بومة كبيرة خلف زجاج نافذتي، 1.30 بعد منتصف الليل. Alikuwa Bundi mkubwa, nyuma ya dirisha langu la kioo, majira ya saa 7.30 usiku, tarehe pic.twitter.com/19WjfUelQ0
— abdulkader alguneid (@alguneid) 30 Octoba, 2013