Misri: “Morsi Hatarudi Madarakani”

Aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hatarudi madarakani, anasema mwanablogu wa Misri Alya Gadi, kwenye mtandao wa Twita. Kuufanya ujumbe wake wazi, ametafsiri kwa lugha mbalimbali:

Mwezi Julai, utawala wa Morsi wa mwaka mmoja ulikatizwa , baada ya maandamano makubwa kote Misri kutoa wito ajiuzulu ulioanza Juni 30.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.