Maadhimisho ya Miaka 30 ya Maandamano ya Usawa ya Wafaransa

Miaka 30 iliyopita (Oktoba 15, 1983), a maandamano ya usawa dhidi ya ubaguzi wa rangi [fr] yalianzia  Marseille  na watu 32, wengi wao wakiwa wenye asili ya Kiarabu, kwa kuomba haki ya kupiga kura na kitambulizo cha mkazi kwa miaka 10. Maandamano hayo yanayofahamika kama “Beur March” (Beur ni lahaja ya Kifaransa kwa watu wenye asili katika Afrika ya Kaskazini) yaliwasili mjini Paris, Desemba 3 na zaidi ya watu 60,000 baada ya kujiunga katika seti ya awali ya waandamanaji. Matukio mbalimbali yana adhimisha kumbukumbu ya miaka kote nchini Ufaransa, ingawa katika mazingira magumu kutokana na kupanda kwa kasi kwa mbali haki katika Ufaransa. Video zifuatazo ni moja ya makala mengi ya vyombo vya habari kuadhimisha miaka [fr]:

1 maoni

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.