Rais wa Chama cha Madaktari Msumbiji Akamatwa

Baada ya mgomo wa madaktari uliodumu kwa takribani juma moja nchini Msumbuji, Dr. Jorge Arroz, Rais wa Associação Médica de Moçambique, amekamatwa usiku wa Jumapili, Mei 26, 2013, kwa tuhuma za “uchochezi” (kuhamasisha watu kutokuridhishwa au kuiasi serikali). Kwenye mtandao wa Twita na Facebook, @verdademz, @canal_moz na ripoti nyingine za watumiaji wa mitandaoni.

"Manu many health professionals here in the 6th police station of Maputo. Dr. Jorge Arroz is under arrest. Photo by @Verdade newspaper (used with permission)

“Watumishi wengi wa idara ya afya wakiwa katika kituo cha Polisi mjini Maputo. Dr. Jorge Arroz amekamatwa. Picha kwa hisani ya @Verdade (imetumiwa kwa ruhusa)

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.