Nigeria: Nigerian President on Facebook

David Ajao anajadili Ukurasa wa Facebook wa rais wa Naijeria: “Kwa kupitia ukurasa wa Facebook uliofunguliwa tarehe 28 Juni 2010, amekuwa akieleza imani yake katika Naijeria na ndoto yake ya Naijeria.”

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.