Habari Mpya
Watumiaji wa simu za mkononi wanajilinda vya kutosha dhidi ya ukiukwaji wa haki ya faragha?
Kwa makampuni ya teknolojia, taarifa binafsi za watu ni chanzo kikuu cha mapato yao. Hata hivyo, watumiaji wa makampuni haya wanakabiliwa na hatari kubwa ya usalama wa taarifa zao. Je, kuna njia muafaka ya kulinda haki yao ya faragha?
Mpango wa kutoa chanjo ya UVIKO-19 nchini Kenya waibua matabaka ya maskini na wasiojiweza
Wafanyabiashara na wanasiasa wanapata chanjo mapema wakati Wakenya masikini na wazee wakisimama kwenye foleni ndefu.
TAZAMA/SIKILIZA: Kupambana na miiko inayozuia utoaji mimba
Ulikosa matangazo mubashara ya kipindi cha Global Voices Insights cha Aprili 7 kuhusiana na masuala ya haki za kutoa mimba katika nchi tano? Tunakirudia hapa.
Baada ya Magufuli, Tanzania itarekebisha sheria kandamizi za maudhui ya mtandaoni?
Kanuni za maudhui ya mtandaoni nchini Tanzania zinatumiwa kuminya na kubana haki za matumizi ya mtandao na uhuru wa kujieleza. Je, kuapishwa kwa Rais mpya kutabadili sheria hizi kandamizi?
Kubadilika kwa Utawala Nchini Tanzania: Kutoka Rais Magufuli mpaka Rais Hassan
Kwa baadhi, Magufuli anakumbukwa kama "Mwana wa Afrika kweli kweli" mpigania haki za wa-Afrika aliyetanguliza maslahi ya Afrika mbele. Wengine wanamkumbuka kama Rais 'mpenda umaarufu" aliyepigania uzalendo — kuliko kingine chochote.
TAZAMA: Mazungumzo na Jillian C. York kuhusu kitabu chake kijacho “Silicon Values”
Ulikosa kipindi mubashara cha Global Voices Insights tulipozungumza na mwandishi na mwanaharakati Jillian C. York? Sikiliza marudio hapa.
MUBASHARA mnamo Februari 10: Mazungumzo na Jillian C. York kuhusu kitabu chake kijacho “Silicon Values”
"Nani ana nguvu ya kuamua kitu gani kionekani na kipi kisionekane kwenye mtandao?"
Nchini Tanzania, Serikali kukanusha uwepo wa UVIKO -19 kwawanyima wananchi taarifa muhimu za afya
Tangu mwezi Machi 2020, serikali ya Tanzania imenyamaza kuhusu virusi vya korona na hakuna takwimu zozote zinatolewa kuhusu maambukizi ya ugonjwa huo au vifo.
Taarifa Za Ndani Zinasema; Wanafunzi wasiopungua 15 ‘Walitiwa mimba na wakufunzi’ katika chuo cha Polisi Msumbiji
Nyaraka hizo zilisema kuwa ujauzito huo ulitokana na mahusiano ya kingono baina ya wakufunzi bila kueleza kama mahusiano hayo yalikuwa ya hiari au lah.
Jumanne Hii ya Utoaji, Changia Global Voices
Kazi yetu na jumuiya ya waandishi wetu wa kimataifa ni ushahidi kwamba uhusiano wa binadamu bila kujali kiambaza cha tofauti mbalimbali unaweza kubadilisha namna watu wanavyouelewa ulimwengu.