<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Mon, 23 Nov 2009 11:30:25 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Afrika: Haki za Wanawake</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/afrika-haki-za-wanawake/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/afrika-haki-za-wanawake/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 11:30:25 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Gender]]></category>
		<category><![CDATA[Nigeria]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=721</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Sokari anaandika kuhusu Toleo Maalum la Masuala ya Wanawake la Pambazuka linaloangalia miaka 15 iliyopita tangu mkutano au Jukwaa la Vitendo mjini Beijing pamoja na mustakabali wa haki za wanawake barani.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/22/africa-womens-rights-across-africa/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Sokari anaandika kuhusu <a href="http://www.blacklooks.org/2009/11/womens_rights_across_africa.html">Toleo Maalum la Masuala ya Wanawake la Pambazuka</a> linaloangalia miaka 15 iliyopita tangu mkutano au Jukwaa la Vitendo mjini Beijing pamoja na mustakabali wa haki za wanawake barani.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/afrika-haki-za-wanawake/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Brazil: Mtazamo wa Wakazi wa Vitongoji Maskini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 11:21:58 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Brazil]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Portuguese]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=716</guid>
		<description><![CDATA[Katika makala hii, tunasikia mitazamo ya wanahabari raia kutoka mradi wa Viva Favela kuhusiana ya vurugu inayotokana na mihadarati huko Rio de Janeiro na jinsi inavyofagia makazi ya walalahoi, kama wanavyoiona mbele ya milango ya nyumba zao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/diego-casaes/">Diego Casaes</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/01/brazil-a-view-from-slum-dwellers-on-rios-drugs-war/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wiki iliyopita, picha za vita kati ya wasafirishaji na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya mjini Rio de Janeiro zilitapakaa duniani. Tarehe 17 Oktoba, mapambano kati ya magenge yanayotokea vilima vya Morro Sao Joao na Morro dos Macacos yaliwatisha watu. Mamia ya askari wa jimbo walipelekwa katika juhudi za kudhibiti magenge hayo yanayoshindana lakini haikusaidia: ugomvi kati ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya na polisi yalipelekea kutunguliwa kwa helikopta ya polisi na vifo vya polisi watatu, na kuchukua maisha ya zaidi ya watu 30 wengine, miongoni mwao wakiwemo watu wanaotuhumiwa kuwa wanachama wa magenge na wapiti njia. </p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 610px"><img alt="Wakati helikopta inalipuka. Picha na Taiane Oliveira kwenye Twitpic." src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/36736952.jpg" title="The moment the helicopter exploded. Photo by Taiane Oliveira On Twitpic." width="600" height="450" /><p class="wp-caption-text">Wakati helikopta inalipuka. Picha na Taiane Oliveira kwenye Twitpic.</p></div>
<p>Blogu ya <em><a href="http://inblogs.com.br/censurado/">Censurado</a></em> inaukosoa mtizamo wa gavana katika mgogoro huu, baada ya kusikia habari zinazoashiria kuwa <a href="http://inblogs.com.br/censurado/politicanacional/carnaval-fora-de-epoca-no-rio-de-janeiro-chove-bala-rio-2016-socorro-ja">polisi hawakujua chochote juu a uvamizi</a>:</p>
<blockquote><p>Vocês viram as cenas na televisão este fim de semana? Helicóptero caindo, policial morrendo queimado, inocente metralhado nas ruas e traficante invadindo a favela do outro em plena luz do dia, uma verdadeira cena de filme de guerra. Dizem no Rio que até o serviço secreto israelense sabia que um morro atacaria o outro, mas mesmo assim o governador Sérgio Cabral diz que a policia carioca não sabia de nada? Acho que ele anda passando muito tempo com o Lula. Só isso explica essa ‘ignorância&#39; sobre o tema.</p></blockquote>
<div class="translation">Je uliiona habari katika televisheni mwishoni mwa juma hili? Helikopta akianguka, polisi wanaungua moto, watu wasio na hatia wanapigwa kwa risasi mitaani na wauza madawa ya kulevya wakivamia vitongoji vya wauzaji wengine mchana kweupe; kama picha kutoka kwenye sinema ya vita. Mjini Rio, watu wanasema kuwa hata shirika la kijasusi la Israel lilikuwa linafahamu kuwa wauza madawa ya kulevya wangeeenda kuwashambulia wauzaji wengine, lakini bado gavana Sergio Cabral alisema kuwa polisi wa carioca walikuwa hawafahamu lolote? Nadhani anatumia muda mwingi na [rais wa Brazil] Lula. Hiyo ndiyo sababu pekee ya “kutokufahamu kwake” juu ya suala hili.</div>
<p>Mwanablogu <em><a href="http://anamvc.blogspot.com/">Ana Maria</a> </em>[pt] anasema kuwa kuitungua helikopta siyo kazi rahisi na kuonyesha kuwa huu unaweza ukawa ni mwanzo tu. <a href="http://anamvc.blogspot.com/2009/10/desespero-do-trafico.html">Anasema</a>[pt]:</p>
<blockquote><p>Mas os senhores do tráfico, donos dos morros cariocas possuem não apenas as armas capazes disso, possuem indivíduos capazes de manuseá-las e causar um desastre como o do sábado.<br />
Isso vai ficar marcado para sempre na memória da PM e do cidadão de bem, morador do estado do Rio de Janeiro.<br />
Se eles podem fazer isso com um helicóptero da polícia tripulado por homens treinados, que dão a vida pela segurança pública, o que podem fazer com o cidadão comum?<br />
Não vou “tapar o sol com peneira”.<br />
As coisas podem piorar.</p></blockquote>
<div class="translation">Sio tu vigogo wa madawa ya kulevya, bali pia wamiliki wa makazi ya masikini katika carioca, wanazo bunduki zenye uwezo wa kufanya jambo kama hilo mikononi mwao, na pia wanao watu waliofundishwa kuzitumia na kusababisha janga kama la Jumamosi iliyopita.<br />
Tukio hili litaacha lama katika kumbukumbu za Polisi na raia wa kawaida, wakazi wa jimbo la Rio de Janeiro.<br />
Kama wanaweza kufaifanyia hivi helikopta inayoendeshwa na watu waliofuzu, ambao wametoa maisha yao ili kutoa usalama kwa umma, je wanaweza kufanya nini kwa raia wa kawaida?<br />
Siwezi “kulificha jua kwa chujio”.<br />
Mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi.</div>
<p><strong><br />
Maelezo ya wakazi juu ya vita vya madawa ya kulevya</strong></p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 410px"><img alt="Mwanamke aliyembeba mtoto anatembea bila kujali mbele ya maofisa wa polisi wanaofanya doria katika Morro dos Macacos" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-010.jpg" title="Macacos-010" width="400" height="300" /><p class="wp-caption-text">Mwanamke aliyembeba mtoto anatembea bila kujali mbele ya maofisa wa polisi wanaofanya doria katika Morro dos Macacos</p></div>
<p>Mradi wa habari wa jamii <em><a href="http://www.vivafavela.com.br/">Viva Favela</a></em> [pt] unatoa <a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46399&#038;sid=87">maelezo ya wakazi walioshuhudia kwa macho ugomvi huu</a>. Waandishi wao wa kiraia – ambao wote wanaishi katika mstari wa mbele wa mapambano – wamekusanya maoni kutoka kwa wakazi wa kwenye maeneo hayo na picha za siku ambayo vita vya madawa ya kulevya vilianza jijini Rio de Janeiro.</p>
<p>Mtu wa kwanza kusikilizwa na <em>Viva Favela</em> alikuwa Hugo Mattos, ambaye anaishi kwenye mtaa ambao ndio njia ya kuelekea kwenye eneo ambalo matukio yalijiri (Morro dos Macacos). Alisema kuwa wauza madawa ya kulevya walitumia bunduki zenye nguvu ya juu na akaongeza kuwa kuna aina fulani ya hofu ya jumla kwamba ikiwa polisi watalichukua tena eneo linalokaliwa na wauza madawa ya kulevya, patazuka machafuko mabaya kama jibu kutoka kundi linalotawala Morro dos Macasos: </p>
<blockquote><p>O tiroteio começou por volta das duas da manhã e só terminou às oito horas, quando a policia chegou. Muita gente teve que dormir fora de casa nesse dia.</p>
<p>As pessoas dizem que ninguém deve sair de casa depois das 10 horas, porque algo pode acontecer.</p></blockquote>
<div class="translation">Kutupiana risasi kulianza kwenye majira ya saa 8 za usiku na kumalizika saa 2 asubuhi wakati polisi walipowasili. Iliwabidi watu wengi walale nje ya nyumba zao usiku ule. Watu wanasema kuwa hakuna anayepaswa kutoka nyumbani kwake baada ya saa 4 za usiku, kwa kuwa lolote linaweza kutokea.</div>
<p>Kwa mujibu wa <em>Viva Favela</em>, taarifa kama hizi huletwa wakati wote kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo, ambao hawana uwezo wa kufanya lolote. Jioni ya Jumanne tarehe 20 Oktoba, wakazi wa Morro Sao Joao waliandamana kutokana na hofu ya kuvamiwa kama majibu (ya wauza madawa walioshambuliwa awali), hofu ambayo ilitajwa kuwa haikuwa na msingi wowote na Mkuu wa jeshi la Polisi, Kanali Mario Sergio Duarte. Hata hivyo, watu walikwishaingiliwa na hofu. Mkazi mwingine wa Morro dos Macacos, Karen Carolina Nascimento anasema kuwa kutupiana risasi kati ya wauza madawa ya kulevya na polisi kumekuwa kukiendelea kwa miezi miwili. Anahofu mgogoro mpya:</p>
<blockquote><p>Já era praticamente uma rotina, mas no último sábado foi diferente. O confronto aconteceu por causa de uma tentativa de invasão e não foi a primeira vez que os traficantes do Morro São João tentam. O comentário que se escuta no morro é que a facção rival deu uma ordem para tomar o Morro dos Macacos até dezembro e que esses bandidos tiveram ajuda de policiais para tentar invadir.</p>
<p>O policiamento não está reforçado e os moradores estão muito apreensivos com medo de uma outra invasão. Eu trabalho no pé do Morro São João e vou para a minha casa andando. Ontem só havia um único carro com dois policiais dentro parado em uma esquina. Em cima do morro não existe policiamento nenhum. Uma vez ou outra um carro blindado sobe e faz uma ronda. Estamos com muito medo porque com certeza a facção rival vai tentar tomar novamente.</p></blockquote>
<div class="translation">[Vita vya Magenge] vimekuwa ni kama kama kawaida, lakini jumamosi hii ilikuwa tofauti. Mgogoro ulianza kwa sababu ya jaribio la kuivamia Morro dos Macacos lililofanywa na wauza madawa ya kulevya kutoka Morro Sao Joao, na hili halikuwa jaribio la kwanza. Neno lililokuwa kwenye kwenye makazi ni kuwa kundi shindani limetoa amri ya kuiteka Morro dos Macacos ifikapo mwezi Desemba na kwamba maofisa wa polisi walikuwa wanawaunga mkono wauzaji hao.<br />
Doria ya polisi haitekelezwi na wakazi wana wasiwasi mkubwa, wanahofia uvamizi mpya. Ninafanya kazi chini ya bonde la Morro Sao Joao na hutembea ninaporudi nyumbani. Jana, kulikuwa na gari moja tu lililokuwa na maofisa wawili wa polisi ndani yake lililoegeshwa kwenye kona. Hakuna doria ya polisi juu kwenye makazi. Mara moja moja kwa nadra gari iliyokingwa (mithili ya gari ya jeshi) huja huku juu na kufanya doria. Tumo kwenye hofu kubwa kwani tuna hakika kuwa kundi shindani litajaribu kulikomboa eneo.</div>
<p><em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46400&#038;sid=87">Viva Favela</a></em> [pt] pia inatoa maoni ya <em>Wagner da Silva de Barros</em>, mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mkazi wa Vila Penheiro kutoka Complexo da Mare, anayesema kuwa athari za mgogoro katika Morro dos Macacos umefika mbali kiasi hiki kwa sababu ya helikopta iliyotunguliwa na anaongeza kuwa vita hii itaenea pia kwenye  jamii nyingine nyingi:</p>
<blockquote><p>A queda do helicóptero e a morte dos três policiais chocou parte da população, mas na Maré, durante cinco meses, nós vivemos um confronto entre facções que matou muita gente, inclusive moradores que nada tinham a ver com o tráfico, e não teve nem metade da divulgação que esse tiroteio dos Macacos está tendo.</p>
<p>Esses tiroteios reforçam de que na favela só existe bandido e violência, mas o que muitas pessoas ignoram é que trabalhadores morrem durante os conflitos e são logo identificados como traficantes pela polícia.</p></blockquote>
<div class="translation">Kuanguka kwa helikopta na vifo vya maofisa watatu wa polisi kulishtua sehemu ya wakazi wa kwenye vitongoji, lakini Mare [vitongoji hivyo vya hali ya chini], kwa miezi mitano, tumeishi katika ugomvi baina ya makundi ambao umeua watu wengi zaidi, pamoja na wakazi ambao hawakuwa na uhusiano wowote na biashara ya madawa ya madawa ya kulevya, na hawa hawakupata hata nusu ya habari zilizotangazwa na vyombo vya habari juu ya mapambano ya risasi katika Morro dos Macacos.<br />
Mapambano haya ya risasi yanasisitiza ukweli kuwa katika maeneo ya maskini (favelas) kuna majambazi na machafuko, ila jambo ambalo watu wengi hawafahamu ni kuwa wafanyakazi hufariki wakati wa machafuko na haraka polisi huwatangaza kama wauza madawa ya kulevya.</div>
<p>Kwa mujibu wa <em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46400&#038;sid=87">Viva Favela</a></em> [pt], katika kesi ya Morro dos Macacos, vijana watatu wa kiume wasio na hatia ambao waliuwawa kwa risasi walijumuishwa kwenye orodha ya majambazi waliouwawa. Katibu wa Usalama Jose Mariano Beltrame alijirudi na kuomba msamaha kwa familia za Marcelo Costa Gomes, 26, Leonardo Fernandes Paulino, 27, na Francisco Haílton Vieira Silva, 24. Walikuwa wanarudi nyumbani kutokea kwenye hafla wakati uvamizi ulipotokea. Kijana wa nne, mhudumu wa hoteli Francisco Alaílton Vieira da Silva, 22, aliokolewa na wakazi na hivi sasa yuko hospitali katika kitengo cha huduma maalum. Mpenzi wake wa kike ni mjamzito wa miezi 3.</p>
<p>Walter Mesquista wa <em>Viva Favela</em> pia <a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46399&#038;sid=87">anatoa picha za mgogoro huo</a> zilizopigwa na mpiga picha <em>Guillermo Planel</em> siku ambayo watu wanaiita “Vita vya Mihadarati”.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-001.jpg" title="Macacos-001" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-002.jpg" title="Macacos-002" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-003.jpg" title="Macacos-003" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-004.jpg" title="Macacos-004" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-005.jpg" title="Macacos-005" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-006.jpg" title="Macacos-006" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-007.jpg" title="Macacos-007" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-008.jpg" title="Macacos-008" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-009.jpg" title="Macacos-009" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos011_trat.jpg" title="macacos011_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos012_trat.jpg" title="macacos012_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos013_trat.jpg" title="macacos013_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p>Kuna mauaji takriban 6,000 kwa mwaka katika jimbo zima la Rio, ambalo lina wakazi milioni 14. Operesheni “Eneza Amani” yenye doria ya kudumu imekuwa ikitekelezwa kwa mwaka mzima katika vitongoji vitano. Ongezeko la uwepo wa polisi vitongojini kunayalazimisha magenge kupigania maeneo mengine.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/viva_favela_logoweb-300x136.jpg" title="viva_favela_logoweb" class="alignnone" width="300" height="136" /></p>
<p><em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=40489&#038;sid=74">Viva Favela</a> ni mradi wa uanahabari wa kijamii ambao unafanya kazi na wanablogu malum pamoja na wapiga picha ambao wanaishi katika maeneo maskini ya Rio de Janeiro. Mradi huo uko chini ya uongozi wa Mhariri <a href="http://twitter.com/rodrigonogueira">Rodrigo Nogueira</a>. Unaweza kupata taarifa zaidi katika <a href="http://twitter.com/vivafavela">akaunti yao rasmi ya Twita</a></em> [pt] <em>na katika <a href="http://www.orkut.com.br/Main#Community?cmm=33684890">jamii </a>ya Orkut </em>[pt].</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Afrika Kusini: Kikaragosi Kiliochoathirika na VVU Kwenye Kipindi cha Sesame Chaelimisha Kuhusu Ukimwi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/afrika-kusini-kikaragosi-kiliochoathirika-na-vvu-kwenye-kipindi-cha-sesame-chaelimisha-kuhusu-ukimwi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/afrika-kusini-kikaragosi-kiliochoathirika-na-vvu-kwenye-kipindi-cha-sesame-chaelimisha-kuhusu-ukimwi/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 10:38:13 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Children]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Health]]></category>
		<category><![CDATA[South Africa]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=696</guid>
		<description><![CDATA[Wakati kipindi cha watoto cha Mtaa wa Sesame (Sesame Street) kikisherehekea maadhimisho ya miaka 40 mwezi huu, kwa kizindua msimu wake  mpya leo, kikaragosi kizuri kinachovutia cha Muppet katika toleo la Afrika Kusini kinaendelea kusaidia kupambana na kuelimisha kuhusu VVU/UKIMWI. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juhie-bhatia/">Juhie Bhatia</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/11/south-africa-sesame-streets-hiv-positive-muppet-raises-awareness/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Kami22.jpg" title="Kami" class="alignright" width="200" height="260" /><br />
Wakati kipindi cha watoto cha <a href="http://www.sesamestreet.org/home/">Mtaa wa Sesame</a> (Sesame Street) kikisherehekea maadhimisho ya miaka 40 mwezi huu, kwa kizindua msimu wake  mpya leo, kikaragosi kizuri kinachovutia cha Muppet katika toleo la Afrika Kusini kinaendelea kusaidia kupambana na kuelimisha kuhusu VVU/UKIMWI. </p>
<p>Wakati kipindi cha Sesame Street kinatazamwa katika zaidi ya <a href="http://www.sesameworkshop.org/newsandevents/sesameupdates/sesame_40thbirthday">nchi 140</a>, kila toleo huzungumzia masuala yanayotokea kwenye jamii husika na kwa kumtumia vikaragosi tofauti. <a href="http://muppet.wikia.com/wiki/Kami">Kami</a> mwenye rangi ya Njano-dhahabu alionekana kwa mara ya kwanza kwenye kipindi mwenza cha Sisame Street cha Afrika Kusini kinachoitwa <a href="http://www.schooltv.co.za/TakHome.htm">Takalani Sesame</a>, mwaka 2002 kujibu matatizo ya nchi yanayohusiana na UKIMWI. Kama kikaragosi cha kwanza duniani chenye VVU, kinasaidia kuwaelimisha watoto kuhusu ugonjwa na kushughulikia masuala yanayohusiana na kuwa mwathirika wa UKIMWI. Jina la Kami <a href="http://www.sesameworkshop.org/aroundtheworld/southafrica">linatoka</a> kwenye neno la kiSetswana “Kamogelo”, lenye maana ya “kukubalika.” Sunshinestar110, anayeblogu kwenye <em>U dont Like My Opinion&#8230;That’s Fine!</em> <a href="http://thatsfine2009.blogspot.com/2009/11/happy-birthday-to-you.html">anazungumzia zaidi</a> kuhusu Kami:</p>
<blockquote><p>“Kami ni mwathirika wa VVU mwenye afya, yatima wa miaka mitano mwenye bashasha ambaye ana aibu kidogo lakini huchangamka akijongelewa kwa njia ya kirafiki, pia anajua mengi kuhusu Virusi vya UKIMWI, alimpoteza mama yake kwa ugonjwa huo. Kami alipozinduliwa, akiwa na nywele zake za kahawia na pia alivaa fulana, na kutembea kwenye mtaa wa Susame na kujiuliza huku akihofu kama wenyeji watataka kucheza nae. Hakuwa na haja ya kuogopa kwa sababu vikaragosi vingine vilimpokea kwa bashasha”</p></blockquote>
<p>Kami aliletwa kuwasaidia watoto wengi wa Afrika Kusini wanaotaabika na janga la VVU/UKIMWI. Inaaminika kuwa Afrika Kusini ina idadi kubwa zaidi ya watu walio na VVU duniani – inakadiriwa kuwa watu <a href="http://www.unaids.org/en/CountryResponses/Countries/south_africa.asp">milioni 5.7</a> Kwa makadirio, kati ya walioathirikia, 280,000 ni watoto wa umri wa miaka chini ya 14 na kuna yatima milioni 1.4 nchini kutokana na UKIMWI. Zaidi ya madhara ya kimwili ya kuwa na VVU, vilevile kuna unyanyapaa na miiko inayotokana na kuwa na ugonjwa, ambayo husababisha ugumu kwa watu kupata matibabu stahiki na msaada. Takalani Sesame, ambayo inajumuisha lugha zote rasmi 11 za Afrika Kusini, inajaribu kuwasaidia watoto kuyatazama masuala haya kwa ujasiri kupitia Kami.</p>
<p>Hata hivyo, kulikuwa na mkanganyiko wakati Kami alipoanza kuonyeshwa, hasa hasa nchini Marekani, ambapo wengi walikasirishwa na kuwa kipindi cha watoto kinanamchezesha mhusika mwenye VVU. <em>Haven on Earth</em> <a href="http://haven-on-earth.spaces.live.com/blog/cns!C13DE188EF218F14!382.entry?sa=500695506">anafafanua</a> mjadala huo:</p>
<blockquote><p>“Ingawa ilitaarifiwa kuwa ujio wa Kami kwenye kipindi cha Sesame Street nchini Afrika Kusini ulikuwa unakaribishwa.(Nina wakati mgumu kukubaliana na ukweli huu kwa sababu kiwango kikubwa cha kukataa bado kipo), kulikuwa na mkanganyiko ulio wazi hapa Marekani. Ninakumbuka kusoma kuhusu suala hili (hii ni sababu ya mimi kufurahia kukutana na kipindi kikirushwa kutokea Afrika Kusini – nisingelifikiria kukitafuta). Iliondokea kuwa kundi la wabunge wa Congress wa chama cha Republican walituma barua kwa Rais wa Shirika la Utangazaji la Umma (PBS) linalorusha kipindi cha Sesame Street. Barua ilidai kwamba mipango ya kuleta mhusika kama huyo ambaye ni mwathirika wa UKIMWI nchini Marekani haikuwa sahihi, kwa kuzingatia umri wa watazamaji. Walipendekeza kwamba hatua hiyo ingeathiri ufadhili wa umma kwa Shirika hilo (PBS).”</p></blockquote>
<p>Kami hajawahi kuonekana kwenye kipindi cha Sesame Stree cha Marekani, ingawa amedhihirisha kuwa mhusika aliyefanikiwa sana kwenye kipindi cha Takalani Sesame na zaidi. Mwaka 2003, UNICEF <a href="http://www.unicef.org/media/media_16631.html">ilimteua</a> kuwa “Shujaa wa Watoto” duniani. Katika <a href="http://www.youtube.com/watch?v=9eXlNn-C8BY">video</a> hii, anaungana na Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton kutoa ujumbe kuhusu VVU/UKIMWI. Jamie, anayeblogu kwenye <em>No day but Today</em>&#8230;, <a href="http://phaino.blogspot.com/2006/12/world-according-to-sesame-street.html">anajadili</a> mafanikio mengine ya Kami:</p>
<blockquote><p> “Kwa sababu watoto wengi wa Afrika Kusini wanamfahamu mtu fulani mwenye UKIMWI, mhusika huyo amekuwa shujaa wa taifa, anayependwa na watu wa nchi hiyo. Kami ameonekana kwenye Umoja wa Mataifa na Benki ya Dunia na alihojiwa na Katie Couric. Ameteuliwa kuwa balozi wa UNICEF wa watoto na ameonekana kwenye vipande vya onyesho la Takalami pembeni mwa Desmond Tutu na Nelson Mandela.”</p></blockquote>
<p>Pamoja na mafanikio ya Kami, wanablogu wengine bado wanaamini kuwa si mhusika sahihi kwa toleo la Kimarekani la Sesame Street. Emily Meyer, anayeblogu kwa ajili ya darasa lake la heshima, <a href="http://hons101fall09eem.blogspot.com/2009/10/kami-hiv-muppet.html">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>“Ingawa ni muhimu kwa Wamerekani kufahamu kuhusu VVU/UKIMWI na hatari ya ugonjwa wenyewe, nadhani kuwafundisha watoto katika umri wa miaka miwili na mitatu ni kwenda mbali sana. Watoto wadogo kiasi hiki hawataweza kuelewa kuhusu VVU na hawataelewa madhara yake. Kama Kami alitakiwa aletwe Marekani kama njia kueneza elimu na kudhibiti UKIMWI, sidhani kama matokeo yaliyokusudiwa yangetokea&#8230;Watoto nchini Marekani hawalazimishwi kuhusika na masuala ya UKIMWI katika umri huo mdogo. Nadhani wakati sahihi kwa watoto nchini Marekani kujifunza kuhusu hatari ya virusi vya UKIMWI ni wanapokuwa wakubwa, kadri ya miaka kumi ama kumi na moja au wakati mwanafunzi anapoanza kujihusisha na vitendo vya mapenzi kimwili”</p></blockquote>
<p>Bado, wanablogu wengi, kama huyu hapa <a href="http://beckyluz.wordpress.com/2008/12/16/kami-the-hiv-positive-muppet/">anayeandika kwenye</a> <em>Muppets and History</em>, anamwona Kami kama mfano mwingine wa namna Sesame Street inavyosukuma mipaka. Wengine <a href="http://joburgjoblog.blogspot.com/2006/03/celebrating-aids-research.html">wanaonyesha upendo</a> wao kwa kikaragosi huyo na ujumbe anaowaletea watoto. Na wengine wanadhani anatakiwa atumike kwenye matoleo mengine ya Sesame Street. Katika blogu yake binafsi, Steisha Pintado <a href="http://steishapintado.wordpress.com/2008/12/18/final-grades-kami/">anasema</a>:</p>
<blockquote><p>“Anawaonyesha watoto kwamba ni sawa kumkumbatia mtu mwenye virusi vya UKIMWI, na anaeleza nini cha kufanya anapokuwa na kidonda kwenye kidole chake au kama umejikata mwenyewe. Anaifundisha hadhira ya watoto wadogo kuhusu kukabiliana na kuumwa na kupotelewa&#8230;.Ingawa ngono huwa haitajwi kamwe katika kuzungumzia hali ya Kami, watu wengine wamesema kuwa kuwepo kwa mhusika mwenye virusi vya UKIMWI lisingekuwa jambo sahihi kwa hadhira ya watazamaji wadogo. Mbunge mmoja hata alidai kuwa Warsha ya Sesame ingepoteza msaada wa kifedha kutoka serikalini kama ingerusha kipindi chenye mhusika huyo kwenye nchi yetu. Inashangaza kusikia maneno haya. Wazazi wanatumia muda mfupi (na unaopungua kila siku) na watoto wao, na wanaruhusu runinga kuwaelimisha zaidi na zaidi. Ni wazi wazazi wengi hawawafundishi watoto wao namna ya kuyakabili masuala nyeti  ya uelewa na kukubalika. Wazazi tayari wamewaruhusu Warsha ya Sesame kuingiza suala la kukubalika kwa wale wenye ulemavu na kuugua, na pia kwa wale wenye rangi na dini tofauti. Je, hii ina tofauti gani? </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/afrika-kusini-kikaragosi-kiliochoathirika-na-vvu-kwenye-kipindi-cha-sesame-chaelimisha-kuhusu-ukimwi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Azerbaijan: Baada ya Hukumu ya Wanablogu wa Video</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/azerbaijan-baada-ya-hukumu-ya-wanablogu-wa-video/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/azerbaijan-baada-ya-hukumu-ya-wanablogu-wa-video/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 10:21:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Azerbaijan]]></category>
		<category><![CDATA[Blogger News]]></category>
		<category><![CDATA[Central Asia & Caucasus]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=694</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naOnnik Krikorian  &#183; Imetafsiriwa na Christian Bwaya &#183;  Angalia ujumbe mama 

Siku chache baada ya hukumu ya vijana wanaharakati wawili wa blogu za video huko Azerbaijan, wanablogu wengine wanaanza kuongea kwa  sauti juu ya kifungo cha Adnan Hajizade na Emin Milli. Wanaharakati hawa wa mtandaoni watatumikia vifungo vya miaka miwili [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/onnik-krikorian/">Onnik Krikorian</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/more-reaction-to-blogger-trial-verdict/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/hands_off12.jpg" class="alignleft" width="177" height="187" /><br />
Siku chache baada ya <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/11/11/azerbaijan-bloggers-sentenced/">hukumu ya vijana wanaharakati wawili wa blogu za video</a> huko Azerbaijan, wanablogu wengine wanaanza kuongea kwa  sauti juu ya kifungo cha <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/blogger/adnan-hajizada">Adnan Hajizade </a>na <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/blogger/emin-milli">Emin Milli</a>. Wanaharakati hawa wa mtandaoni watatumikia vifungo vya miaka miwili na mwingine miaka miwili na nusu gerezani baada ya mashitaka ambayo wengi wanayaona kama yenye nguvu za kisiasa na ni katika kujaribu kuwanyamazisha wasemaji kwenye nchi hiyo.</p>
<p>Wanaungana na wengine kama <a href="http://www.se2009.eu/en/meetings_news/2009/11/12/presidency_statement_on_azerbaijan">Urais wa Jumuiya ya Ulaya</a>, <a href="https://wcd.coe.int//ViewDoc.jsp?Ref=PR839%282009%29&#038;Language=lanEnglish&#038;Ver=original&#038;BackColorInternet=F5CA75&#038;BackColorIntranet=F5CA75&#038;BackColorLogged=A9BACE">Baraza la Bunge la Ulaya</a>, <a href="http://www.osce.org/item/41288.html">Shirika la Usalama na Ushirika la Ulaya</a>, Shirika la kupingania Haki za Binadamu la <a href="http://www.hrw.org/en/news/2009/11/12/azerbaijan-young-bloggers-jailed">Human Rights Watch</a>, <a href="http://www.amnesty.org/en/library/asset/EUR55/009/2009/en/655ee814-8957-4c08-b4f3-16772a16d9c2/eur550092009en.html">Amnesty International </a>na <a href="http://www.rsf.org/spip.php?page=article&#038;id_article=34972">Waandishi wasio na mipaka </a>na wengine wengi wanaoishutumu hukumu hiyo.</p>
<p>Shirika la Amnesty International vilevile <a href="http://www.amnesty.org/en/library/asset/EUR55/009/2009/en/655ee814-8957-4c08-b4f3-16772a16d9c2/eur550092009en.html">limewatangaza vijana hao wawili kama wafungwa wa dhamira</a>. <em>Interesing times</em>, “mradi wa mtandaoni unaofuatilia jitihada  za kudhibiti na kuzuia upatikanaji huru wa mtandao duniani kote,” <a href="http://www.i-times.org/interesting_times/2009/11/azerbaijans-government-intensifies-its-war-on-free-expression.html">waliyaweka mashtaka katika muktadha</a>. </p>
<blockquote><p>matumizi ya mabavu ya hivi karibuni yaliyoonyeshwa na nguvu za dola nchini Azerbaijan hayaachi shaka yoyote kwamba wote, waandishi na wanablogu wanatumia haki yao ya kujieleza kwa uhuru ilhali wanajua hatari inayowakabili. </p>
<p> […]</p>
<p>Shukrani kwa shinikizo la kimataifa kama vile barua ya WPFC na nyingine nyingi,  serikali ya Azeri imelazimishwa kuwatoa waandishi hao gerezani.</p>
<p>Lakini kitendo hiki cha hivi karibuni cha uonevu dhidi ya wanablogu wawili hakiachi tena wasiwasi kwamba, kama wakiachwa wenyewe, maafisa wa serikali wa Azerbaijan wataendelea na njia zao za kinyanyasaji.</p></blockquote>
<p><em>Notes from Abroad</em> naye pia <a href="http://gedirem.blogspot.com/2009/11/long-prison-sentences-for-two-azeri.html">hashangazwi na hukumu  hiyo</a>:</p>
<blockquote><p>Jumanne, wanablogu wawili vijana walihukumiwa kifungo jela –mmoja kwa miaka miwili na nusu, na mwingine kwa maika miwili– kwa mashitaka ya kipuuzi ya uhuni. Suala zima ni aibu –likiendeshwa na malengo ya kisiasa, lakini haishangazi.</p>
<p>[…]</p>
<p>Kwa kuwa Azerbaijan ni utawala wenye utajiri mkubwa wa mafuta, nchi za Magharibi zimekuwa makini mno katika majibu yake kwa kitendo hiki kisichokuwa cha kidemokrasia kilichofanywa na serikali ya Azeri.</p>
<p>Serikali ya Azeri ni lazima ikemewe kwa nguvu zote na nchi zote za demokrasia duniani kwamba tabia ya aina hii hikubaliki.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu <em>The Blogar</em>, hata hivyo, <a href="http://theblogar.blogspot.com/2009/11/emin-and-adnan-in-prison.html">anakaribia kukosa maneno</a>:</p>
<blockquote><p>Kwa hiyo hukumu imetolewa.<br />
Emin na Adnan sasa ni rasmi kwamba ni ‘wahuni’.<br />
Ninakosa cha kusema hapa.<br />
Kama inavosemekana kuwa vyombo vya habari vya jamii vilihusika katika kuwatia ndani, vilihusika na kueneza habari mitaani kuhusu uvunjifu wa haki lakini havikuweza kubadili akili za mfumo wa sheria uliooza wa Azerbaijan.<br />
Usicheze na Ilham.</p>
<p> […] Mawazo yangu yako na fanilia zao pamoja na wao wenyewe.</p></blockquote>
<p>Hata hivyo, kukiwa na rufaa inayokaribia kukatwa na uwezekano wa hatua zitakazochukuliwa na Mahamakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya, <em>L4L</em>, blogu mpya ya lugha ya Kiingereza ya Azeri, <a href="http://sympathy4thedevil.wordpress.com/2009/11/13/beginning/">inasema kwamba huu ni mwanzo tu</a>:</p>
<blockquote><p>Nini cha kufanya baada ya hapa? Awali ya yote tusikome. Tuendelee kufanya kazi kuelekea uhuru wa marafiki zetu na kuelekea kwenye uhuru wa raia wote wa Azerbaijan [&#8230;] Adnan na Emin hawakuonyesha woga na sisi hatupaswi kuwa chochote chini ya majasiri na wenye kutia moyo.</p>
<p>[…]</p>
<p>Huu hauwezi kuwa mwisho. Vyote vinaanza sasa.</p></blockquote>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/parvana.jpg" class="aligncenter" width="440" height="294" /><br />
<em>Parvana Persiani na David Sasaki wa Jukwaa la Dunia la kublogu la Global Voices on lin, Bucharest, Romania © Onnik Krikorian / Oneworld Multimedia 2009</em></p>
<p>Wakati huo huo, kwenye pembe za Kongamano la Dunia la Kublogu mjini Bucharest, Romania, <em>Global Voices Online</em> ilifanya mahojiano yaliyoshindikana na Parvana Persiani, Mjumbe wa Heshima wa Bodi ya OL! Vuguvugu la vijana wa Azerbaijani ambalo rafiki yake wa kiume, Adnan Hajizade aliyefungwa sasa, ni mshiriki mwanzilishi.</p>
<p><object width="720" height="450"><param name="movie" value="http://dotsub.com/static/players/portalplayer.swf?plugins=dotsub&#038;uuid=4fe42f66-8f9b-42f3-85de-69e92c748374&#038;type=video&#038;lang=none"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowscriptaccess" value="always"></param><embed src="http://dotsub.com/static/players/portalplayer.swf?plugins=dotsub&#038;uuid=4fe42f66-8f9b-42f3-85de-69e92c748374&#038;type=video&#038;lang=none" type="application/x-shockwave-flash" allowscriptaccess="always" allowfullscreen="true" width="420" height="347"></embed></object></p>
<p>Habari mpya zitakuwa zilitundikwa kila zikipatikana. Wakati huo huo, habari kamili ya kukamatwa,  mashitaka na kufungwa kwa Adnan Hajizade na Emin Milli zinapatikana kwenye <a href="http://globalvoicesonline.org/-/world/central-asia-caucasus/azerbaijan/">sehemu ya Azerbaijan </a>ya <em>Global Voices Online </em>na kwenye blogu ya OL! (Kwa <a href="http://ol-en.blogspot.com/">Kiingereza</a> na <a href="http://ol-az.blogspot.com/">Kiazeri</a>). Alama ya <a href="http://twitter.com/#search?q=%23EminAdnan">#EminAdnan </a>pia inatumika kwenye Twitter.<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/emin_adnan_poster.jpg" class="aligncenter" width="440" height="570" /><br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/poster.jpg" title="poster" class="aligncenter" width="440" height="525" /></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/azerbaijan-baada-ya-hukumu-ya-wanablogu-wa-video/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Ufaransa: Tuzo ya Fasihi Yaja na Masharti</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 19 Nov 2009 06:32:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[France]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=700</guid>
		<description><![CDATA[Mwanzo wa msimu wa Fasihi ya Kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya Kisenegali na Kifaransa Marie N’Diaye akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya Prix Goncourt. Lakini, N’Diaye na familia yake walikwishahamia mjini Berlin miaka miwili iliyopita, hasa kutokana na siasa za rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy. Mwaka jana, jopo la tuzo hii yenye hadhi walizusha hisia kali pale walipomchagua mwandishi wa Kiafghani Atim Rahimi, kwa kitabu chake cha Kifaransa, Syngué Sabour. Je hii itakuwa ni fursa nyingine ya kusherehekea mchanganyiko wa aina mbalimbali katika jamii inayobadilika ya Kifaransa? Au itakuwa ni wasaa utakaoharibiwa na utete wa tukio?]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/suzanne-lehn/">Suzanne Lehn</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/france-does-prestigious-literary-award-entail-a-duty-of-restraint/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mwanzo wa msimu wa Fasihi ya Kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya Kisenegali na Kifaransa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Marie_NDiaye">Marie N’Diaye</a> akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Goncourt_Prize">Prix Goncourt</a>. Lakini, N’Diaye na familia yake walikwishahamia mjini Berlin miaka miwili iliyopita, hasa kutokana na siasa za rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy. Mwaka jana, jopo la tuzo hii yenye hadhi walizusha hisia kali pale walipomchagua mwandishi wa Kiafghani Atim Rahimi, kwa kitabu chake cha Kifaransa, <em>Syngué Sabour</em>. Je hii itakuwa ni fursa nyingine ya kusherehekea mchanganyiko wa aina mbalimbali katika jamii inayobadilika ya Kifaransa? Au itakuwa ni wasaa utakaoharibiwa na utete wa tukio?</p>
<p>DW-World <a href="http://www.dw-world.de/dw/article/0,,4884146,00.html">anaeleza</a>:</p>
<blockquote><p>Katika mahojiano na gazeti la “Inrockuptibles” kiangazi kilichopita, N’Diaye alisema kuwa aliamua kuondoka Ufaransa na kuhamia Berlin mwaka 2007 ‘kwa kiwango kikubwa kutokana na Sarkozy”</p>
<p>Sakata hilo lilianza baada ya Eric Raoult, mtungasheria na mwanachama wa chama tawala cha Sarkozy, UMP, aliandika barua kwa waziri wa utamaduni wiki iliyopita akishauri kuwa N’Diaye akumbushwe “wajibu wa kujiheshimu” ambao unaambatana na tuzo ya Goncourt. </p>
<p>Katika kutoa majibu, wenye nguvu katika sekta ya utamaduni walishutumu kuwa kuna uchujaji katika malumbano haya. Bernard Pivot, mwanachama katika jopo la Goncourt, alimshutumu Raoult kuwa hafahamu chochote katika uwanja wa fasihi.</p></blockquote>
<p>N’Diaye, aliyezaliwa mwaka 1967 na mama Mfaransa na baba Msenegali, alishinda tuzo ya Goncourt kutokana na riwaya yake “Trois femmes puissantes” (”Wanawake watatu wenye nguvu”), hadithi inayohusu wanawake waliojikuta katikati ya Ufaransa na Senegal na katika mkasa wa dhiki mbaya ya uhamiaji usio halali kutokea Afrika.</p>
<p>“Hadithi ya hawa wahamiaji imesimuliwa mara nyingi kabla, lakini kama hii itawasaidia watu kufahamu hatima yao vyema zaidi, basi nitafurahi,” alisema N’Diaye.</p>
<p>Ni kitu gain kilichochochea hasira ya Eric Raoult? Si pungufu ya mahojiano ya mwanamke huyu mwandishi, wakati alipojibu swali la <a href="http://www.lesinrocks.com/actualite/actu-article/t/1257862620/article/raoultndiaye-on-nest-plus-en-1942/">gazeti la Les Inrocks</a>: “Je unajisikia vizuri katika Ufaransa ya Sarkozy?” alisema [Fr]:</p>
<blockquote><p>« Je trouve cette France-là monstrueuse. Le fait que nous (avec son compagnon l’écrivain Jean-Yves Cendrey, et leurs trois enfants – ndlr) ayons choisi de vivre à Berlin n’est pas étranger à ça. (…) Je trouve détestable cette atmosphère de flicage, de vulgarité… »</p></blockquote>
<div class="translation">Naiona aina hiyo ya Ugfaransa kuwa mbaya isiyovumilika. Ukweli kuwa sisi (N’Diaye, mpenzi wake, mwandishi Jean-Yves Cendrey, pamoja na watoto wao watatu) tuliamua kuishi mjini Berlin unahusiana na hili. (…) Naiona hali hii ya ulinzi mkali na tabia chafu inakifu…”</div>
<p>Mwanablogu wa sheria anayejulikana <em><a href="http://www.maitre-eolas.fr/post/2009/11/12/Prix-Busiris-pour-Éric-Raoult">Maître Eolas</a></em> anayabomoa bomoa madai ya Bw. Raoult katika makala ya kejeli iliyoandikwa kwa mantiki nzuri [Fr], na hatimaye anamtunukia tuzo ya “Prix Busiris” (“buse” inaweza ikatafsiriwa kama “upumbavu”)</p>
<p>Kwanza anasahihisha makosa ya sarufi:</p>
<blockquote><p>Tout d’abord, et le ministre de la culture et de la communication aura rectifié de lui-même, le devoir de réserve ne peut en tout état de cause être dû aux lauréats mais dû par les lauréats : cette erreur de préposition fait du lauréat le créancier alors que dans  la tête du député, il en serait évidemment le débiteur.</p></blockquote>
<div class="translation">Kwa kuanzia, na Waziri wa Utamaduni na Mawasiliano hawezi kusahau kujisahihisha, wajibu wa kujizuia hauwezi katika mfano wowote kuwapa wajibu waliopokea tuzo, lakini badala yake huwajibika kwa waliopokea tuzo; mapendekezo haya yenye makosa yanamfanya aliyepokea tuzo kuwa kama mkopaji wakati katika mawazo ya mbunge anakuwa kama vile ni mkopeshaji.</div>
<p>Na kisheria? Kati ya maandishi, mwanablogu ananukuu <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Declaration_of_the_Rights_of_Man_and_of_the_Citizen">Tamko la Haki za Mtu na za Raia la mwaka 1789 </a>pamoja na <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/European_Convention_on_Human_Rights">Makubaliano ya Haki za Binaadamu ya Nchi za Ulaya</a>. Na “Wajibu wa Kujizuia au Kujiheshimu” huwa unawawajibisha watumishi wa umma?</p>
<blockquote><p>Le devoir de réserve est souvent invoqué à tort et à travers par des gens qui n’y ont rien compris comme interdisant à un fonctionnaire de s’exprimer, y compris parfois sur des affaires purement privées.</p></blockquote>
<div class="translation">Wajibu wa Kujizuia auKujiheshimu huwa unatolewa hovyo hovyo na watu ambao hawafahamu lolote juu ya wito huo, kama vile kumkataza mtumishi wa umma asiongee, mara nyingine hata kuhusu  mambo binafsi.</div>
<p>Mwanasheria anahitimisha kwa kutoaminika kwa mbunge, kabla ya kutoa pigo la mwisho:</p>
<blockquote><p>Ajoutons à cela qu’en 2005, en tant que maire du Raincy, lors des émeutes de l’automne, il fut le premier à proclamer l’état d’urgence dans sa commune pourtant épargnée par les actes de violence afin de griller la politesse au premier ministre, ce qui montre une certaine tendance à la gesticulation inutile pour attirer l’attention sur lui.<br />
Ce qui établit en même temps le mobile d’opportunité politique, et emporte la décision.</p></blockquote>
<div class="translation">Hebu tuongeze juu ya yote haya ukweli kwamba mnamo mwaka 2005, kama Meya wa Le Raincy, wakati wa machafuko ya kipupwe, alikuwa wa kwanza kutoa tamko la hali ya dharura ndani ya mji wake, na aliponusurika na machafuko hayo, alimzunguka Waziri Mkuu, jambo ambalo linanyonyesha tabia yake ya vitendo visivyo na maana ili watu wamuangalie.</p>
<p>Jambo ambalo wakati huo huo linathibitisha kuwa sababu kubwa ya kuchukua uamuzi ni kutaka kunufaika kisiasa. </p></div>
<p>Wanablogu wengine pia walikuwa na maneno makali.</p>
<p>Kwenye <em>Art contemporain, la peau de l&#39;ours</em>, Philippe Rillon <a href="http://rillon.blog.lemonde.fr/2009/11/10/marie-ndiaye-eric-raoult-et-le-devoir-de-reserve/">anaandika </a>[Fr]: </p>
<blockquote><p>Nous comprenons fort bien que le devoir de réserve s’impose à tout serviteur de l’Etat; mais depuis quand la littérature et les auteurs sont ils assimilés aux fonctionnaires avec leurs droits et devoirs?<br />
Nous avions déjà une “Culture administrée”, nous voici maintenant “artistes fonctionnaires” comme si Paris était Berlin-est d’avant la chute du mur…<br />
(…)<br />
Il serait quand même étonnant qu’au lendemain d’une hyper-médiatique commémoration de la chute du mur, ce godillot vienne gâcher le spectacle idylique des dominos qui tombent.</p></blockquote>
<div class="translation">Tunaelewa vyema kuwa wajibu wa kujizuia ni sheria kwa kila mfanyakazi wa dola; lakini tangu lini fasihi na waandishi wamewekwa kwenye kundi sawa na watumishi wa umma pamoja na haki na wajibu wao?<br />
Tayari tunao “utamaduni wa serikali”, na sasa tumegeuka kuwa “wasanii wa dola”, kana kwamba mji wa Paris umekuwa Berlini ya Mashariki kabla ya ukuta kuvunjwa…<br />
(…)<br />
Je isingekuwa jambo la ajabu siku baada ya kusherehekea kuanguka kwa ukuta, mshabiki huyu angeliweza kuharibu muonekano mzuri wa kete zilizokuwa zinaanguka.</div>
<p>Wakati huo huo, Marie N’Diaye baada ya jitihada za kushusha ukali wa maneno yake katika <a href="http://www.europe1.fr/Culture/Ndiaye-revient-sur-ses-propos-excessifs-sur-Sarkozy/%28gid%29/253818">mahojiano na Radio Station Europe 1</a>, ambayo katikati ya mzozo watu hawakuyaona, alimuomba Waziri wa Utamaduni wa Ufaransa, Frederic Miterrand. Waziri huyo <a href="http://www.leparisien.fr/flash-actualite-culture/marie-ndiaye-persiste-et-signe-frederic-mitterrand-juge-la-polemique-anecdotique-et-ridicule-12-11-2009-708919.php">ameuchukulia</a> mzozo huo kuwa ni kitu kigogo na cha kijinga” [Fr], na <a href="http://www.lefigaro.fr/flash-actu/2009/11/13/01011-20091113FILWWW00566-ndiaye-raoult-ne-regrette-rien.php">wahusika wakuu </a>wameshikilia <a href="http://www.marianne2.fr/Marie-NDiaye-ou-la-fable-de-l-ecrivain-rebelle_a182772.html?com">misimamo yao</a>. [Fr]</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>China: Obama ni Mshabiki Mkubwa wa Kutokuchuja Habari</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 17 Nov 2009 10:06:54 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[China]]></category>
		<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=690</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naOiwan Lam  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa &#8220;Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari&#8220;.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/oiwan/">Oiwan Lam</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/17/china-obama-as-a-big-supporter-of-non-censorship/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa &#8220;<a href="http://shanghaiscrap.com/?p=3920">Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari</a>&#8220;.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Paraguay: Wenyeji Wanyunyiziwa Dawa za Kuua Wadudu kwa Ndege</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/paraguay-wenyeji-wanyunyiziwa-dawa-za-kuua-wadudu-kwa-ndege/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/paraguay-wenyeji-wanyunyiziwa-dawa-za-kuua-wadudu-kwa-ndege/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 17 Nov 2009 09:56:23 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Agriculture]]></category>
		<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Indigenous]]></category>
		<category><![CDATA[Paraguay]]></category>
		<category><![CDATA[Spanish]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=685</guid>
		<description><![CDATA[Huko Mashariki mwa Paraguay, jumla ya watu 217 wa jumuiya ya wenyeji ya Ava Guaraní walianza kusumbuliwa wakionyesha dalili mbalimbali za kiafya zinazoaminika zilisababishwa na unyunyiziaji wa makusudi wa dawa za kuua wadudu hasa baada ya wao kuwa wamegoma kuhama kutoka katika ardhi waliyoirithi kutoka kwa mababu zao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/eduardo-avila/">Eduardo Avila</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/12/paraguay-indigenous-group-sprayed-aerially-with-pesticides/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Huko Mashariki mwa Paraguay, jumla ya watu 217 wa jumuiya ya wenyeji ya Ava Guaraní walianza kusumbuliwa wakionyesha dalili mbalimbali za kiafya zinazoaminika zilisababishwa na unyunyiziaji wa makusudi wa dawa za kuua wadudu hasa baada ya wao kuwa wamegoma kuhama kutoka katika ardhi waliyoirithi kutoka kwa mababu zao.</p>
<p>Watendaji wa serikali wamethibitisha kwamba baadhi ya sehemu za ardhi ya wenyeji iliyo katika Wilaya ya Itakyry katika <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Alto_Paran%C3%A1_Department">Idara ya Alto Paraná</a> ilinyunyiziwa wakati ambapo <a href="http://www.ultimahora.com/notas/272060-Ministra-confirma-que-fumigaron-tierras-sin-cultivo-en-Itakyry">hakukuwa na mazao yoyote </a>[es]. Ishara nyingi zinaelekezwa kwa walima maharage ya soya wa KiBrazili kwamba ndiyo wanaohusika na unyunyiziaji huo, kwani kwa kiasi kikubwa ardhi iliyo mikononi mwa jamii za wenyeji ingefaa sana kwa zao hilo na kwamba hawa wamekuwa katika mgogoro na Ava Guaraní kuhusu <a href="http://interparaguay.blogspot.com/2009/11/ministros-comprobaron-la-fumigacion.html">umiliki wa takribani hekta 3,000</a>, kwa mujibu wa blogu ijulikanayo <em>Interparaguay [es]</em>.</p>
<blockquote><p>José Ángel López Barrios wa Bienvenidos! [es] akielezea eneo la jamii lililo mbali na mengine ambapo tukio hilo lilitokea:<br />
Itakyry es uno de los distritos del Departamento de Alto Paraná, distante a unos 450 kilómetros de Asunción, capital de la Republica, se llega a el por caminos no pavimentados, su época de esplendor se dio en la época de las explotaciones yerbateras. Que termino al cabo de 100 años abriendo paso a la explotación de la soja en estos últimos tiempos……</p></blockquote>
<div class="translation">
Itakyry ni moja ya wilaya za Idara (Mkoa wa) Alto Paraná, iliyo umbali wa kilomita 450 kutoka katika mji mkuu wa Asunción. Kufika huko mtu huna budi kutumia barabara za vumbi, katika kilele cha mafanikio yake ilikuwa ni wakati wa ulimaji wa yerba maté. Jambo hilo lilikoma baada ya miaka 100, na kupisha ulimaji soya katika miaka ya hivi karibuni……</div>
<p>Ni mahitaji ya maharage ya soya na bei yake inayozidi kupanda ambayo inaifanya ardhi hiyo kuwa inayofaa kwa zao hili lenye kipato kikubwa sasa. Sehemu ya ardhi hii iko kwenye ardhi ya kurithi ya mababu wa jamii za wenyeji, kama vile <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Guaran%C3%AD">Guaraní</a>. Mwanablogu Carlos Rodríguez wa <em>Rescatar [es]</em> <a href="http://rescatar.blogspot.com/2009/11/soja-y-genocidio-fumigan-indigenes.html">hafikiri kwamba tukio la unyunyiziaji dawa dhidi ya makundi ya wenyeji ni tukio dogo, analiita tendo hilo kama &#8220;mauaji ya halaiki</a>&#8220;: </p>
<blockquote><p>Hubo un tiempo en que en Paraguay los aborígenes no eran considerados seres humanos. Eran cazados como animales y sus crías rescatadas como trofeos.<br />
(…)<br />
Otros fueron apropiándose a bala y sangre de sus tierras y como los indígenas no hacían gestiones ante las instituciones encargadas de titular las tierras que siempre les pertenecieron, el hombre blanco si lo hizo y se plantea el contrasentido de que los legítimos dueños de estas tierras, hoy son “los invasores”.<br />
Y siguen siendo tratados como animales. Sólo así se puede entender que los productores de soja les envíen aviones fumigadores para lanzarles venenos encima, tal como lo ha comprobado el Ministerio de Salud que socorre en estos momentos a los indígenas intoxicados por plaguicidas para soja.</p></blockquote>
<div class="translation">Kuna kipindi hapa Paraguay ambapo WaAborigino hawakudhaniwa kuwa ni binadamu. Waliwindwa kama wanyama na watoto wao walichukuliwa kama mapambo fulani hivi.<br />
(…)<br />
Sehemu ya ardhi yao iliporwa kwa risasi na damu, na hasa kwa kuwa wenyeji hawa hawakwenda kwenye mamlaka zinazohusika na utoaji hati miliki za ardhi kuhusu ardhi ambayo daima wameimiliki, Wazungu hawakwenda kwenye taasisi hizo, na katika jambo ambalo ni la kushangaza, hawa wanaochukuliwa kwamba wao ndiyo wamiliki wa ardhi hiyo ni hawa &#8220;wavamizi&#8221;.<br />
Wanaendelea kutendewa kama wanyama. Ni kwa njia hii tu ambapo mtu anaweza kuelewa kwa namna gani wazalishaji wa soya wanaweza kutuma ndege za kunyunyiza dawa ya sumu dhidi ya wenyeji, jambo ambalo limethibitishwa na Wizara ya Afya, ambayo sasa inajaribu kuwasaidia wenyeje walioathiriwa na sumu hiyo. </div>
<p>López Barrios <a href="http://lopezbarrios.blogspot.com/2009/11/matte-larangeira-la-industrial.html">pia anaona aibu kwa hitoria ya vitendo vibaya vinavyofanywa na jamii za wenyeji huko Paraguay [es]. </a>Kama mtoto wa wahamiaji kwenye nchi hii, anaandakika kwamba matukio hayo &#8220;yanamfanya atamani kurejea Ulaya&#8230; lakini kwa kweli &#8230;angependa wanyonyaji hao waondoke zao.&#8221;</p>
<blockquote><p>
Ensañarse con un pueblo indígena que tiene más de 38 siglos de existencia en sus propios y verdaderos territorios, no me parece apropiado…. Si no respetamos a nuestros mayores nuestros días se acortaran sobre la tierra y si anteponemos la avaricia a cualquier otra virtud caeremos sin remedio…..</p></blockquote>
<div class="translation">Kuwachukia wenyeji ambao wameishi hapo kwa zaidi ya karne 38 kwenye ardhi yao wenyewe, si jambo la kukubalika kwangu &#8230;. Kama hatuwaheshimu wakubwa zetu, basi siku zetu duniani zitafupishwa, na kama choyo (tamaa) ikiwekwa mbele ya kitu chochote, ipo siku tutaangamia &#8230;. </div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/paraguay-wenyeji-wanyunyiziwa-dawa-za-kuua-wadudu-kwa-ndege/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Karibea: Tuzo za Fasihi ya Kifaransa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/karibea-tuzo-za-fasihi-ya-kifaransa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/karibea-tuzo-za-fasihi-ya-kifaransa/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:20:17 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Canada]]></category>
		<category><![CDATA[Diaspora]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[France]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Guadeloupe]]></category>
		<category><![CDATA[Haiti]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Martinique]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Senegal]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=680</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naFabienne Flessel  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Wiki hii, waandishi wawili wenye asili ya Kiafrika wanaoandika kwa Kifaransa walipewa tuzo mbili zenye kuheshimika sana katika fasihi ya Kifaransa: Ulimwengu wa blogu za wanaozungumza Kifaransa katika Karibea umekuwa ukinguruma juu ya kutosheka kwao mara mbili kwa mpigo, [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/fabienne-flessel/">Fabienne Flessel</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/06/caribbean-french-literary-prizes/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wiki hii, waandishi wawili wenye asili ya Kiafrika wanaoandika kwa Kifaransa walipewa tuzo mbili zenye kuheshimika sana katika fasihi ya Kifaransa: Ulimwengu wa blogu za wanaozungumza Kifaransa katika Karibea umekuwa ukinguruma juu ya kutosheka kwao mara mbili kwa mpigo, <a href="http://www.alterpresse.org/spip.php?article8952">katika makala hii kutoka Haiti</a>, na <a href="http://indiscretions.over-blog.fr/article-le-goncourt-pour-marie-n-diaye-04-11-09-38785480-comments.html#comment50651606">hii kutoka Guadeloupe</a> na <a href="http://www.montraykreyol.org/spip.php?article3183">hii kutoka Martinique</a> [Fr]. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/karibea-tuzo-za-fasihi-ya-kifaransa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Finland: Suala la Lugha</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:09:09 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Finland]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sweden]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=677</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Nordic Voices anaandika kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. 
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/16/finland-the-language-issue/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Nordic Voices <a href="http://nordicvoices.blogspot.com/2009/11/land-of-one-language.html">anaandika</a> kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Misri na Aljeria: Pambano la Twita</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-na-aljeria-pambano-la-twita/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-na-aljeria-pambano-la-twita/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:04:35 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Algeria]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Sport]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=673</guid>
		<description><![CDATA[Katika sehemu nyingi duniani, hakuna linalounganisha zaidi – au wakati mwingine kutenganisha – zaidi ya pambano la mpira wa miguu. Washabiki wa Misri na Aljeria, katika ulimwengu wote wa Waarabu na zaidi, walilidhihirisha hilo Jumamosi hii wakati timu zao zilipokwenda sambamba wakati wa kuwania kuingia fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jillian-york/">Jillian C. York</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/egypt-vs-algeria-the-twitter-match/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Katika sehemu nyingi duniani, hakuna linalounganisha zaidi – au wakati mwingine kutenganisha – zaidi ya pambano la mpira wa miguu. Washabiki wa Misri na Aljeria, katika ulimwengu wote wa Waarabu na zaidi, walilidhihirisha hilo Jumamosi hii wakati timu zao zilipokwenda sambamba wakati wa kuwania kuingia fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini. Wakati vihoro vilipanda juu huko mjini Cairo, pia vilikuwa hai na katika hali nzuri kwenye uwanja yakini mtandaoni, pamoja na kwenye <a href="http://twitter.com/">Twita</a>, ambako watumiaji walitaarifu kuwa skrini zao zilijaa hisia za mpira. Mtumiaji wa Twita <em><a href="http://twitter.com/mbaa">mbaa</a></em> alituma picha ya skrini yake, ambayo ilifurika mazungumzo ya pambano hilo:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/mbaa2.jpg" title="mbaa" class="aligncenter" width="535" height="410" /></p>
<p>Ujumbe wa twita kutoka kwa Mmisri <em><a href="http://twitter.com/embee">embee</a></em> <a href="http://twitter.com/embee/status/5718935256">ulionyesha</a> ushabiki uliokithiri wa baadhi ya washabiki:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/embee-status-5718935256-300x113.PNG" title="embee-status-5718935256" class="aligncenter" width="300" height="113" /></p>
<p>Baadhi ya taarifa zinadai kuwa tiketi zote zimekwishauzwa hivi sasa! Wakati huo huo, Mmisri <em><a href="http://twitter.com/norayounis">NoraYounis</a></em> <a href="http://twitter.com/norayounis/status/5718108814">alielezea kutoamini</a> kwake katika nguvu ya kuunganisha ya mpira wa miguu kwa Wamisri:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/NoraYounis-status-5718108814-300x152.PNG" title="NoraYounis-status-5718108814" class="aligncenter" width="300" height="152" /></p>
<p><a href="http://twitter.com/nohaatef/status/5718339271">Ujumbe wa twita</a> wa Mmisri <em><a href="http://twitter.com/nohaatef">NohaAtef</a></em>, kwa upande mwingine, ulionyesha vitu vinavyoweza kuinua mioyo katika mpira wa miguu:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/NohaAtef-status-5718339271-300x151.PNG" title="NohaAtef-status-5718339271" class="aligncenter" width="300" height="151" /></p>
<p>Katika mifano mingi, mpira wa miguu ulichimbua ushindani wa kitaifa. Waaljeria na Wamisri walikwenda kichwa kwa kichwa kwenye twita wakati pambano likiendelea. Mmisri <em><a href="http://twitter.com/sandmonkey">Sandmonkey</a></em> <a href="http://twitter.com/sandmonkey/status/5714575409">aling’aka</a>: </p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Sandmonkey-status-5714575409-300x86.PNG" title="Sandmonkey-status-5714575409" class="aligncenter" width="300" height="86" /></p>
<p>Mualjeria-Mmarekani <em><a href="http://twitter.com/themoornextdoor">themoornextdoor</a></em> alijibu mapigo <a href="http://twitter.com/themoornextdoor/status/5715301341">akitania</a>:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/themoornextdoor-status-5715301341-300x124.PNG" title="themoornextdoor-status-5715301341" class="aligncenter" width="300" height="124" /></p>
<p>Mwishowe, Mualjeria <em><a href="http://twitter.com/reemba">reemba</a></em> <a href="http://twitter.com/reemba/status/5717755317">alitukumbusha</a> kuwa mambo bado hayajaisha mpaka yaishe:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/reemba-status-5717755317-300x147.PNG" title="reemba-status-5717755317" class="aligncenter" width="300" height="147" /></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-na-aljeria-pambano-la-twita/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
