Habari kuhusu Ulaya Magharibi kutoka Oktoba, 2013
Maadhimisho ya Miaka 30 ya Maandamano ya Usawa ya Wafaransa
Miaka 30 iliyopita (Oktoba 15, 1983), a maandamano ya usawa dhidi ya ubaguzi wa rangi [fr] yalianzia Marseille na watu 32, wengi wao wakiwa wenye asili ya Kiarabu, kwa kuomba haki ya kupiga kura na kitambulizo cha mkazi kwa miaka 10. Maandamano hayo yanayofahamika kama “Beur March” (Beur ni lahaja ya Kifaransa kwa watu wenye...
Uhispania Si Taifa la Watu Wenye Furaha Sana
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Carlos III University mjini Madrid, wa-Hispania wameshika nafasi ya 49th ya furaha kati ya nchi 112
Gambia Yajitoa Jumuiya ya Madola, Yaiita Jumuiya Hiyo ‘Ukoloni Mambo-Leo’
"Gambia haitakuwa mwanachama wa taasisi yoyote ya ukoloni mambo-leo," nchi hiyo ya Afrika Magharibi ilitangaza katika tamko lake la wiki hii.