Habari kuhusu Zimbabwe kutoka Mei, 2014
Je, Madaraka ni Matamu Kiasi cha Watawala wa Afrika Kushindwa Kuyaachia?
Gershom Ndhlovu anaangalia sababu za kwa nini watawala wa Afrika hawataki kuachia madaraka: Kumekuwepo na tetesi, dondoo na hata uvumi kuhusu afya au basi udhaifu wa afya ya Rais wa Zambia Michael Chilufya Sata, aliye madarakani tangu Septemba 2011. Tetesi hizi zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii kiasi kwamba serikali...
Wazimbabwe Wamkejeli Tsvangirai Kwenye Mtandao wa Twita
Lipi ndilo jina sahihi la kitabu cha kufikirika kumhusu Morgan Tsvangirai aliyetimuliwa na chama chake? Watumiaji wa mtandao wa Twita wana mapendekezo kadhaa