Habari kuhusu Zambia kutoka Oktoba, 2013
Zambia: Ukurasa wa Facebook wa Mke wa Rais wa Zamani Waghushiwa kwa Utapeli wa Ufadhili wa Masomo
Yeye si mtu maarufu nchini Zambia waliowahi kukuta akaunti bandia zikifunguliwa kwa majina yao. Ukurasa bandia wa Facebook kwa jina makamu wa rais wa nchi hiyo ilifunguliwa hivi karibuni.