Habari kuhusu Uganda kutoka Novemba, 2013
MATOKEO: Tuzo za Kwanza za Uandishi wa Kiraia Kuwahi Kutolewa Uganda
Tuzo za kwanza za uandishi wa kiraia nchini Uganda (SMAs) zilitolewa kwa mara ya kwanza Novemba 15, 2013 kwenye kituo cha Teknolojia kiitwacho The Hub, kwenye mtaa wa maduka ya Oasis jijini Kampala, Uganda. Malengo ya tuzo hizo, ambayo iliandaliwa na BluFlamingo, yalikuwa: Tuzo hizi za Uandishi wa habari za...
Mkutano wa Global Kampala, Uganda
Mkutano wa Global Voices umepangwa kufanyika Novemba 23 jijini Kampala, Uganda, kuwaleta pamoja wanachama wa jamii hii kushirikisha mawazo.