· Juni, 2013

Habari kuhusu Uganda kutoka Juni, 2013

Uganda: Hatimaye Magazeti Yaliyofungiwa na Polisi Yafunguliwa

  5 Juni 2013

Uganda imeruhusu magazeti mawili kufunguliwa tena baada ya msuguano uliodumu kwa siku 11 kati ya serikali na vyombo vya habari juu ya barua yenye waliyoipata ambayo iliyoonyesha njama ya kumtayarisha mtoto wa kwanza wa Rais Yoweri Museveni kumrithi kiongozi huyo aliyedumu kwa miaka 27.