The Global Voices Lingua project hopes to bring GV content to new linguistic audiences - Details

Also in:

Togo Kumbukumbu za nchi

Kiungo cha RSS kwa Togo

2009-06-28

Togo Yafuta Adhabu ya Kifo

Bunge la Taifa la Togo limepiga kura ya kukomesha adhabu ya kifo na kuifanya nchi hiyo kuwa mwanachama wa 15 wa Umoja wa Nchi za Afrika kuipiga marufuku adhabu hiyo.