Habari kuhusu Sudani kutoka Machi, 2010

Sudani: Je, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Itafanya Kazi?

  13 Machi 2010

Jarida la The Financial Times liliripoti hivi karibuni kuwa mpango wa mamilioni ya dola wa Benki ya Dunia wa kusambaza kompyuta na upatikanaji wa Intaneti huko Juba, mji mkuu wa Sudani ya Kusini, umeshindwa. habari hizi zinazua swali: kelele zinazoambatana na teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) zina uhalali?