Habari kuhusu Sudani Kusini kutoka Machi, 2014
Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Sudani Kusini Akana Jaribio Mapinduzi ya Kijeshi
Mkuu wa upelelezi wa jeshi nchini Sudani Kusini amekana kuwa kulikuwa na jaribio la mapinduzi ya kijeshi tarehe 15 Desemba, 2013. PaanLuel Wel anaripoti: Taarifa kutoka Juba zinasema mkuu wa upelelezo wa jeshi, Jenerali Mac Paul Kuol Awar, ametupilia mbali madai ya jaribio la kijeshi la Desemba 15, 2013. Mac...