· Aprili, 2014

Habari kuhusu Afrika Kusini kutoka Aprili, 2014

Mradi Wa Kutumia Simu za Mkononi Kuhamasisha Usomaji

  10 Aprili 2014

Lauri anaandika kuhusu mradi uliopo Afrika Kusini, Mfuko wa Usomaji wa FunDza, unaotumia teknolojia ya simu za mkononi kuhamasisha tabia ya kusoma kwa watoto: Kinachofurahisha, hata hivyo, ni pale Waafrika wanapopata majibu ya kiubinifu kwa matatizo yao. Mradi wa FunDza ni mfano moja wapo. Simu za mkononi zimeenea sana nchini...