Habari kuhusu Afrika Kusini kutoka Aprili, 2014
Kampeni ya ‘Piga Kura ya Hapana’ Yawahamasisha Waafrika Kusini Kuvitelekeza Vyama Vikubwa
Kikundi cha wanasiasa kimezindua kampeni ya "Amka! Tumechoshwa! mnamo April 15, 2014 wakati uchaguzi wa nchi hiyo umekaribia.
Mradi Wa Kutumia Simu za Mkononi Kuhamasisha Usomaji
Lauri anaandika kuhusu mradi uliopo Afrika Kusini, Mfuko wa Usomaji wa FunDza, unaotumia teknolojia ya simu za mkononi kuhamasisha tabia ya kusoma kwa watoto: Kinachofurahisha, hata hivyo, ni pale Waafrika wanapopata majibu ya kiubinifu kwa matatizo yao. Mradi wa FunDza ni mfano moja wapo. Simu za mkononi zimeenea sana nchini...