· Disemba, 2011

Habari kuhusu Afrika Kusini kutoka Disemba, 2011

Afrika Kusini: Malema Ameng’oka, Nini Kinafuata?

  12 Disemba 2011

Mwanasiasa na mtu ambaye husababisha utata zaidi ya wote nchini Afrika Kusini Julius Malema amesimamishwa uanachama wa chama cha ANC kwa miaka mitano. Malema anachukuliwa na mashabiki wake kama sauti ya dhati ya watu masikini wa Afrika Kusini hususani kwa wito wake kuhusu utaifishwaji wa migodi ya Afrika Kusini.