Habari kuhusu Sierra Leone kutoka Februari, 2015

Ufisadi Uliofanywa na Makampuni Makubwa Katika Kupambana na Ebola Nchini Sierra Leone

  24 Februari 2015

Makampuni matano nchini Sierra Leone yanasemekana kutumia fedha zilizokusudiwa kupambana na Ebola kwa njia za kifisadi: Haya hapa makampuni matano yaliyokuwa yameingia mikataba mikubwa ya kusambaza vifaa na kutoa huduma katika kupambana na ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone kama yalivyoorodheshwa kwenye Taarifa ya Ukaguzi ya Fedha za Kupambana na...