Habari kuhusu Naijeria
Kwanini Serikali za Afrika Zinapinga na Uhuru wa Vyombo vya Habari na Kutoa Maoni? Inawezekana Sababu ni Nguvu Kubwa Nyuma Yake
Kelele tunazopiga kwenye majukwaa ya kidijitali zinawaogopesha watawala kandamizi. Kuna visa kadhaa vya watawala kuchukua hatua kuzima kelele hizo.
Rais wa Naijeria Asema Panapomfaa Mkewe ‘ni Jikoni’ na Kwenye ‘kile Chumba Kingine’
"Sijui mke wangu ni mfuasi wa chama gani cha siasa, lakini ninachojua mahali pake ni jikoni na kwenye kile chumba kingine" alisema rais.
Nchini Naijeria, Unaweza Kukamatwa kwa Kumwita Mbwa Jina Linalofanana na la Rais
"Yeyote ambaye ana mashaka kuhusu kesi hii kuhusishwa na siasa anapaswa kuifuatilia dhamira yake kwa ukaribu kabisa."
“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza
Kosa la wanablogu wa Zone9' ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania "Ubuntu". Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi
Je, Kuahirishwa kwa Uchaguzi Mkuu Naijeria Kunatokana na Sababu za Kiusalama?
Jeshi la Nigeria litaendesha operesheni maalum ya wiki sita dhidi ya Boko Haram ili"kuepusha kuingiliwa na shughuli za uchaguzi." Baadhi ya watu wanatilia shaka kuwa, kuahiririshwa kwa uchaguzi ni mkakati wa kisiasa.
Vijana wa Naija Wacharuka Kufuatia Shambulizi la Boko Haram huko Bosso na Diffa
Kwa mara ya kwanza, Boko Haram kimetekeleza shambulio kwenye mpaka na Naija na vijana wa ki-Naija hakuweza kuvumilia. Boko Haram walishambulia Bosso na Diffa, miji miwili iliyo kusini mashariki mwa Naija kwenye mpaka wa nchi hiyo na Naijeria lakini walirudishwa nyuma na majeshi ya Chad na Naija. Boko Haram imepoteza...
Boko Haram Yaua Watu Wasiopungua 81 Huko Fotokol, Cameroon Kaskazini
Mnamo Februari 4, Boko Haram walifanya shambulio baya kwenye mji wa Fotokol Kaskazini mwa Cameroon, baada tu ya kuvuka mpaka wa Naijeria. Mamia wa raia wanahofiwa kupoteza maisha 81 wamethibitika kufa na Wizara ya Ulinzi. Shirika la Haki za Binadamu nchini humo linaamini kwamba karibu watu 370 wameuawa. Mashuhuda wa...
Wanawake wa Kiislam na Kikristo Nchini Nigeria Walivyoungana Kupambana na Misimamo Mikali ya Kidini
Mchungaji Esther Ibanga kiongozi wa ki-Islam Khadija Hawaja walianzisha Mradi wa Wanawake Wasio na Mipaka miaka michache iliyopita kama jitihada za kurudisha hali ya usalama na amani katika jamii zao.
Kuhoji Kimya cha Vyombo vya Habari Siku za Wikiendi Kuhusu Habari za Ebola
“Ni lini Habari za Ebola zitatangazwa kwa masaa 24 siku saba za wiki?,” anauliza Profesa Crawford Kilian wa Marekani na Kanada: Nimezoea kusikia habari mpya zikisitishwa kutangazwa nyakati za wikiendi. Vyombo vya habari, mashirika ya serikali, Asasi za Kiraia vyote vikiishia kutangaza habari siku ya Ijumaa mchana na kuibukia siku...
Je, Madaraka ni Matamu Kiasi cha Watawala wa Afrika Kushindwa Kuyaachia?
Gershom Ndhlovu anaangalia sababu za kwa nini watawala wa Afrika hawataki kuachia madaraka: Kumekuwepo na tetesi, dondoo na hata uvumi kuhusu afya au basi udhaifu wa afya ya Rais wa Zambia Michael Chilufya Sata, aliye madarakani tangu Septemba 2011. Tetesi hizi zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii kiasi kwamba serikali...