MyWeku anatengeneza orodha ya Blogu 10 bora za Mapishiya ki- Afrika kwa mwaka 2013: “Inaonekana kuna blogu milioni moja zinazozungumzia mapishi, lakini ni chache sana zinazoonyesha vyakula vya Kiafrika. Pamoja na hayo imekuwa kazi ngumu kuchagua 10 kati ya nyingi nzuri kwa mwaka huu 2013.”
Habari Maalum Kuhusu Nigeria
Kitabu-pepe Kipya cha GV: Sauti ya Kiafrika ya Matumaini na Mabadiliko

"Sauti ya Kiafrika ya Matumaini na Mabadiliko", kinakupa mtazamano wa kipekee kuhusu watu na habari za eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kupitia posti zetu zilizo bora zilizoandikwa kwa lugha ya Kiingereza kwa mwaka 2012. Hii ni zawadi sahihi kabisa ya kuukaribisha mwaka mpya.
Baada ya Kony 2012, “What I Love About Africa” Yanyakua Mazungumzo

Kampeni katika mtandao kuhusu mhalifu wa kivita Joseph Kony umesababisha utata mkubwa barani Afrika. Kampeni nyingine ya kupinga utata huo na kuonyesha upande bora wa bara la Afrika, unaojulikana kama #WhatILoveAboutAfrica (Nini Ninachopenda Kuhusu Afrika) sasa unaenea katika tovuti la Twitter.
-
Attahiru Jega: Kiongozi wa Tume ya Uchaguzi ya Naijeria au Mtekaji?
17 Aprili 2011
-
Naijeria: Je, Teknolojia itaathiri uchaguzi wa mwaka 2011?
11 Aprili 2011
-
Africa: Waafrika Wasimulia Kumbukumbu Zao za Utotoni
9 Septemba 2010
-
Naijeria: Nani Amemfanya Rais Abadili Msimamo — Facebook au FIFA?
13 Julai 2010
-
Naijeria: Ghasia Zalipuka Huko Jos Kwa Mara Nyingine
10 Machi 2010
Habari mpya Kuhusu Nigeria
11 Februari 2013
31 Agosti 2012

Nigeria: Rais wa Seneti Atakiwa Kuwataja Wafadhili wa Boko Haram
Makundi mawili ya vijana Kaskazini mwa Nigeria Jumatano yalimkosoa Rais wa Seneti, David Mark, kutokana na matamshi aliyotoa siku za karibuni akiwataka viongozi wa mikoa ya kaskazini kudhibiti shughuli za kundi linaloogopwa sana la Boko Haram, Connected Africa anaripoti.
30 Aprili 2012
Naijeria: Gumzo la Mtandaoni Kuhusu Shirika la Ndege la Dominion
Kwa nini basi kuingia tu kwa jina jipya katika kibiashara ya safari za anga kusababishe majadiliano makali namna hii? Imetokea kuwa shirika hili la ndege si “la kawaida”: linasemekana kumilikiwa na Mtumishi wa injili ya “mafanikio, ” Askofu David Oyedepo.
2 Mei 2011

Naijeria: Gavana wa Kinaijeria Kwenye Twita
Gavana wa Kinaijeria Kayode Fayemi yumo kwenye Twita, mwanablogu wa Naijeria Lord Banks anaripoti.
18 Aprili 2011
Naijeria: Wafuatiliaji wa twita unaoweza kuwafuatilia wakati wa Uchaguzi wa Naijeria mwaka 2011
Ni wakati wa uchaguzi nchini Naijeria. Uchaguzi wa Wabunge umeahirishwa mpaka Jumatatu kutokana na hitilafu za kiuratibu. Uchaguzi wa Rais utafanyika tarehe 9 Aprili 2011. Hii ni orodha yetu ya kwanza ya watumiaji wa twita waliopendekezwa kama utapenda kufuatilia uchaguzi wa Naijeria 2011.
Naijeria: Wanablogu wa Ki-Naijeria wanasema nini kuhusu uchaguzi wa mwaka 2011?
Kadiri uchaguzi wa mwaka 2011 nchini Naijeria unavyozidi kukaribia, Wanablogu wa Naijeria wanatumia muda wao mwingi kuzungumza juu ya uchaguzi huo lakini je kuna mtu anayesikiliza?
17 Aprili 2011
Naijeria Yapiga Kura 2011: Maoni kutoka kwenye Uchaguzi
Wanaijeria walipiga kura jana katika uchaguzi wa tatu wa rais tangu taifa hilo lilipoingia kwenye utawala wa kiraia mwaka 1999. Mpaka sasa, uchaguzi huo umeelezwa na wengi kuwa ulikuwa wa mafanikio, huku kukiwa na taarifa za ghasia za hapa na pale pamoja na hitilafu za upigaji kura. Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa watu wengi walijitokeza, foleni zenye kufuata utaratibu, na wapiga kura kusubiri hadi uchaguzi utakapomalizika ili kuhakikisha kwamba kura zao zimehesabiwa. Wanablogu wanajadili.
10 Aprili 2011

Naijeria: Maonesho ya Picha za Kampeni ya Urais
George Esiri alifuatilia kampeni za kugombea urais za chama cha PDP huko Naijeria. Maonesho ya picha alizopiga yalizinduliwa jana katika Kituo cha Yar'Adua.
9 Julai 2010

Nigeria: Nigerian President on Facebook
David Ajao anajadili Ukurasa wa Facebook wa rais wa Naijeria: “Kwa kupitia ukurasa wa Facebook uliofunguliwa tarehe 28 Juni 2010, amekuwa akieleza imani yake katika Naijeria na ndoto yake ya Naijeria.”
28 Februari 2010
Nijeria: Baada ya miezi miwili bila uongozi, kaimu Rais mpya
Baada ya wiki za mivutano ya kisiasa, Baraza la Seneti lilimthibitisha Goodluck Jonathan kama kaimu Rais. Wengi kwenye ulimwengu wa blogu waliliona tukio hilo kama sababu ya kusherehekea… lakini wengine waliliona kama jambo la kutia hofu, wakieleza kwamba japokuwa kutwaa madaraka kwa Jonathan kunaweza kuwa ni ulazima wa kisiasa, kutwaa huko hakujaruhusiwa wazi na katiba ya Naijeria.




























Kiungo cha RSS kwa Nigeria 












mambo vipi wanablog muko powa wote.kama mumenisoma nijibuni.
Asante. Nimepita hapa natafuta japan na china wamemalizaje ugomvi wao kuhusu visiwa,pia chanzo cha ugomvi...