Habari kuhusu Namibia

Namibia: Kampeni ya Kukomesha Chanjo za Lazima

  19 Oktoba 2009

Kampeni ya kukomesha Chanjo kwa kulazimishwa nchini Namibia imezinduliwa: “ umoja wa Asasi za kijamii umetoa wito kwa Wanamibia wote kujiunga na kampeni ya kulaani chanjo kwa wanawake waishio na VVU bila ya ridhaa yao.