Habari kuhusu Msumbiji kutoka Septemba, 2013

Timu ya wanawake ya Mpira wa Kikapu ya Msumbiji Yafika Mbali

  29 Septemba 2013

Kufuatia ushindi wa kishindo kwenye mashindano ya robo fainali (tazama habari zetu ), yaliyofanyika usiku wa jana timu ya mpira wa kikapu ya Msumbiji, wanawake, ilishinda nafasi ya kuingia kwenye Fainali za Mashindano ya Afrobasket usiku wa leo dhidi ya washindi watetezi Angola. Kwa staili nyingine ya kurudi kwa ushindi...