Habari kuhusu Malawi kutoka Novemba, 2013

Wa-Malawi Wajiandae kwa Kashfa Zaidi za Ufisadi

  13 Novemba 2013

Steve Sharra anaelezea kwa nini Wamalawi wanakabiliwa na kashfa ya zaidi za ufisadi baada habari kuwa wazi kwamba baadhi ya wa-Malawi wenye nguvu walitumia vibaya Mfumo wa Pamoja wa Ndani wa Udhibiti wa Fedha kupora mabilioni ya fedha za umma: Kutokuwepo kwa usawa wa kijamii kunajenga ufa mkubwa miongoni mwa...