Habari mpya Kuhusu Lesotho
2 Juni 2012
Lesotho: Uchaguzi wa amani ambao hukuusikia
Lesotho, nchi ndogo inayozungukwa na Afrika Kusini pande zote, ilifanya uchaguzi wa wabunge Jumapili, uchaguzi ulioendeshwa kwa utulivu, lakini uchaguzi huo haukupewa uzito na vyombo vikuu vya habari.
20 Disemba 2009
Wapiga picha wa Kiafrika, waandishi na wasanii wapata sauti zao kwenye blogu
Kadri Waafrika wengi wanavyozidi kugundua nguvu ya kublogu kama zana ya kutoa maoni kwa kiwango cha dunia nzima, tarakimu ya wanablogu imeongezeka na pia maudhui yanayopewa kipaumbele. Kwa tarakimu hiyo ya kukua kwa blogu, wasanii wengi wa Kiafrika wamejiunga, na ongezeko kubwa likionekana kwenye blogu za mashairi kama ilivyo kwa upigaji picha unaochipukia na blogu za sanaa za maonyesho. Tunazipitia baadhi.




























Kiungo cha RSS kwa Lesotho 





mambo vipi wanablog muko powa wote.kama mumenisoma nijibuni.
Asante. Nimepita hapa natafuta japan na china wamemalizaje ugomvi wao kuhusu visiwa,pia chanzo cha ugomvi...