· Juni, 2015

Habari kuhusu Kenya kutoka Juni, 2015

Wanawake Wanaovaa Nusu Uchi Wataiokoa Sekta ya Utalii Kenya?

  16 Juni 2015

Je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini Kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Al Shabaab?: Seneta mteule, Mbura anasemekana kuwaomba wanawake katika mkoa wa pwani kutembea nusu uchi ili kuwavutia watalii zaidi kuzuru eneo hilo. Wito huo umeibua maswali kuhusiana na thamani ya mwanamke...