· Machi, 2015

Habari kuhusu Kenya kutoka Machi, 2015

Makampuni ya Teknolojia Nchini Kenya Yaliyofadhiliwa Mwaka 2014

  7 Machi 2015

Je, unayajua makampuni ya teknolojia nchini Kenya yaliyopata ufadhili kwa mwaka 2014? Erik Hersmann anayaorodhesha kwenye blogu yake: Fedha za mtaji wa awali Angani – Huduma za mtandao wa umma wa kompyuta BRCK – Huduma za mtandao wa Si-Waya za WiFi CardPlanet – Mfumo wa malipo kwa njia ya simu...