· Septemba, 2013

Habari kuhusu Kenya kutoka Septemba, 2013

Daktari wa Peru ni Miongoni mwa Waathirika Waliopeza Maisha Westgate

  27 Septemba 2013

Shirika la Habari la Andina limearifu [es] siku ya Jumamosi, Septemba 21, 2013, kwamba daktari wa ki-Peru Juan Jesús Ortiz ni mmoja wa watu waliuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, lilisababisha idadi ya vifo vya watu 59 na wengine 175 wakijeruhiwa. Hivi ndivyo Periodismo...