· Septemba, 2012

Habari kuhusu Kenya kutoka Septemba, 2012

Kocha Mfaransa Ateuliwa Kuongeza Bahati ya Kenya Kwenye Kandanda

  19 Septemba 2012

Shirikisho la Kandanda nchini Kenya FKF, limemchagua Kocha mpya wa timu ya taifa la Kenya ambaye ni Mfaransa, Henri Mchel. Wanakamati hao, wana matumaini kuwa anaweza kuwa 'bahati' ya Kenya katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya 2013 na Kombe la Dunia la 2014.