Habari kuhusu Ethiopia
Wanablogu wa Zone9 Wasema, ‘Kushikiliwa kwetu Kumefunua Yaliyojificha Nchi Ethiopia’
"Kwa wale waliotufunga gerezani na ambao walitusababishia madhila haya, hata kama hautuombi msamaha, sisi hatuna kinyongo."
Filamu ya Difret Inayosimulia Mila ya ‘Kumteka’ Mwanamke Kulazimisha Ndoa Nchini Ethiopia
Neno "Difret" lina maana ya "ujasiri" katika lugha ya ki-Amariki. Ni filamu mpya yenye jina hilo ikisimulia mkasa wa msichana wa ki-Ethiopia aliyetekwa na wanaume waliotaka kulazimisha ndoa ya 'kimila'.
Ni Zaidi ya Wanablogu wa Zone9: Wa-Ethiopia Wengine Watumiao Intaneti Wakabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi
Sambamba na kesi maarufu sasa ya wablogu wa Zone9, kuna wanablogu, wanaharakati wa mtandaoni na wanasiasa wengine wengi wa ki-Ethiopia waliowekwa ndani ingawa majina yao bado hayajatajwa. Mwaka uliopita mnamo Julai 8, 2014, Serikali ya Ethiopia iliwakamata viongozi kadhaa wa upinzani, wanablogu, wanaharakati wa mtandaoni na raia kadhaa wanaoguswa na mwenendo...
Edom Kassaye: Mwandishi wa Ethiopia Aliyefungwa Gerezani kwa Uwajibikaji Wake
"Ninaamini kuwa ilikuwa nidhamira chanya ya Edom ya kuleta mageuzi sahihi ya siasa hafifu ya Ethiopia ambayo pia ilipelekea yeye kuwa karibu zaidi na wanajumuia wa kublogu wa Zone9. Taratibu zetu ziliwiana"
Abel Wabela: “Kupambana na Hali ya Kutokuchukua Hatua na Kutojali…Hii Ndio Nia Yangu Kama Mwanadamu”
"Maangalizo, vitisho, kukamatwa na mateso hakujanifanya kuacha kutumia haki zangu za msingi za kujieleza," anasema Abel Wabela, mmoja wa wanablogu wa Zone9 wa nchini Ethiopia ambao walifungwa gerezani tangu Aprili 2014.
“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza
Kosa la wanablogu wa Zone9' ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania "Ubuntu". Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi
Msemo Wa Blogu ya Zelalem Kiberet: ‘Uache Uhuru Uvume’
Kutokana na upeo wake mkubwa, uandishhi wake wa busara na uchambuzi usiotetereka wa masuala ya dini, marafiki zake walimpatia Zelalem jina la utani la Zola lililotokana na mwandishi maarufu wa Kifaransa, Zola.
Lugha za Pili Zinazoongozwa Kuzungumzwa Zaidi Afrika
Don Osborne anajadili habari iliyowekwa kwenye tovuti ya Chuo Kikuu cha Olivet Nazarene ikionesha ramani ya “Lugha za pili kuzungumzwa zaidi duniani.” Anaeleza matatizo makuu kutokana na habari hiyo: Suala la kwanza ni kudhani kwamba “lugha inayozungumzwa zaidi kwenye nchi yoyote huwa wazi; mara nyingi, ni lugha ya taifa husika.”...
Mwanablogu wa Ethiopia, Atnaf Berahane: Kijana Anayejiamini, Aliye Gerezani
Ndoto ya uhuru wa kujieleza ya mwanablogu huyu mwenye umri wa miaka 26 imemplelekea kupokonywa uhuru wake.
VIDEO: Dunia Inasema #WanabloguZone9WaachiweHuru
Global Voices inakumbuka mwaka mmoja tangu kuwekwa kizuizini kwa wanablogu wa Ethiopia wa Zone9 kwa kutengeneza video hii ya kuwaunga mkono. Sema pamoja nasi: #WanabloguZone9WaachiweHuru!