GlobalVoices katika

Ethiopia

Kumbukumbu za nchi · 4 jumbe


Habari mpya Kuhusu Ethiopia

4 Mei 2013

Ethiopia: Mwanablogu Ahukumiwa Miaka 18 Jela kwa “Kuvunja Katiba”

Soma makala hii. GV Advocacy

Mnamo Mei 1, Mahakama Kuu ya Ethiopia ilitoa hukumu kali kwa mwandishi aliyeshinda tuzo Eskinder Nega, ambaye sasa atatumikia kifungo cha miaka 18 jela. Mohamed Keita wa Kamati ya Kuwalinda Waandishi anasema, “Kushitakiwa na hatimaye kutiwa hatiani kwa Eskinder na waandishi wengine ni dalili za utawala unaoogopa maoni ya raia wake.”

12 Juni 2012

Video jumbe
Ethiopia: Ardhi, Historia na Haki katika Eneo la Gambella

Soma makala hii.

Wanaharakati wa masuala ya ardhi wanatumia hati ya malalamiko ya mtandao, mtandao wa facebook na twita kufanya kampeni dhidi ya unyang’anyi wa ardhi nchini Ethiopia. Inaarifiwa kwamba wanakijiji kwenye jimbo msikini zaidi nchini humo, Gambella, wanalazimishwa kuhamia kwenye vijiji vilivyobuniwa na serikali ili kuwapisha wanaoitwa 'wawekezaji' wakubwa.

3 Januari 2010

Ethiopia: Adhabu ya Kifo Ili Kuwatisha Waethiopia

Berhanu Nega, mmoja kati ya watu waliohukumiwa kifo na mahakama ya Ethiopia anasema hashangazwi na adhabu ya kifo.

23 Disemba 2009

Ethiopia: Meles Zenawi aisaliti Afrika

Lucas Liganga aandika kuhusu usaliti wa Waziri Mkuu wa Ethiopia: “kwa bahati mbaya, Waziri Mkuu wa Ethiopia meles Zenawi ambaye ni msemaji wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi amejiunga na Ufaransa na kubadili nakala ya Afrika, jambo ambalo limewastua wajumbe wa Afrika.”

Sehemu za Dunia

Nchi

Lugha