Habari kuhusu Angola kutoka Mei, 2012
Afrika: Kusherehekea Siku ya Ukombozi wa Afrika kwenye Mtandao wa Twita
Siku ya Ukombozi wa Afrika ni maadhimisho ya kila mwaka kukumbuka tarehe 25 Mei 1963 siku ambayo Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU) ulianzishwa. Mwaka 2002 OAU ilianzisha mrithi wake aitwaye AU. Waafrika na marafiki wa Afrika wanasherehekea siku hiyo kupitia mtandao wa twita.