· Agosti, 2014

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Agosti, 2014

Baraza la Mawaziri Nchini Zambia Lichunguze Afya ya Rais

  16 Agosti 2014

Kwa mtazamo wa tetesi zilizoenea sana kuhusu afya ya rais wa Zambia, Michael Sata, Gershom Ndhlovu ana hoja kwamba katiba inalipa Baraza la Mawaziri mamlaka ya kuchunguza afya yake: Mara ya mwisho rais wa Zambia Michael Sata kuonekana hadharani ilikuwa takribani Juni 20 ambapo alikuwa mwenyeji wa ujumbe wa serikali...